<br />Dawa ya mwanamke mkorofi kama huyo ni kumtelekeza tu. Unatafuta kimwana mwingine then nduki.
Suicide ni alama ya cowardness mara nyingi...
mi jirani yangu babaENOKI<br />
Anachezea makofi kila siku<br />
Na anacheo kikubwa tu ofisini kwake.<br />
Mke wake sio mkurya na anamtandika kweli.jaman wanaume kupigwa na wake zao sio ndumba.tunahitajiti mjadala wa kitaifa kuhusiana na dhahama hii.
<br />mi jirani yangu babaENOKI<br />
Anachezea makofi kila siku<br />
Na anacheo kikubwa tu ofisini kwake.<br />
Mke wake sio mkurya na anamtandika kweli.jaman wanaume kupigwa na wake zao sio ndumba.tunahitajiti mjadala wa kitaifa kuhusiana na dhahama hii.
Duhh, na mie itabidi niache kulipa kichapo Gozi langu.