Ajira 2014/2015..

Ajira 2014/2015..

Akili Pesa

JF-Expert Member
Joined
Jun 18, 2014
Posts
616
Reaction score
854
Uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii. Hatimaye yale yaliyokuwa yanasemwasemwa saaaana kuwa hii serikali ni zaidi ya "magic movie" nimeamin aisee, yan viongoz hawana "Ethics ya uongozi" kwasabab hta kama watatoa usiku wa leo walipaswa kutoa angalau taarifa jmn.

Naamin wapo watu walioumizwa Sanaa kwa hili suala la Ajira, lkn hapa ndio mwanzo wa kujitambua na kuelewa kuwa nchi ina tatizo la msingi ambalo ni "UONGOZI".
Ni hayo tu wadau jmn, lazima tukubali matokeo tu....
 
Uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii. Hatimaye yale yaliyokuwa yanasemwasemwa saaaana kuwa hii serikali ni zaidi ya "magic movie" nimeamin aisee, yan viongoz hawana "Ethics ya uongozi" kwasabab hta kama watatoa usiku wa leo walipaswa kutoa angalau taarifa jmn.

Naamin wapo watu walioumizwa Sanaa kwa hili suala la Ajira, lkn hapa ndio mwanzo wa kujitambua na kuelewa kuwa nchi ina tatizo la msingi ambalo ni "UONGOZI".
Ni hayo tu wadau jmn, lazima tukubali matokeo tu....
Jipange vema ujiajili acha kelele.
 
Uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii. Hatimaye yale yaliyokuwa yanasemwasemwa saaaana kuwa hii serikali ni zaidi ya "magic movie" nimeamin aisee, yan viongoz hawana "Ethics ya uongozi" kwasabab hta kama watatoa usiku wa leo walipaswa kutoa angalau taarifa jmn.

Naamin wapo watu walioumizwa Sanaa kwa hili suala la Ajira, lkn hapa ndio mwanzo wa kujitambua na kuelewa kuwa nchi ina tatizo la msingi ambalo ni "UONGOZI".
Ni hayo tu wadau jmn, lazima tukubali matokeo tu....
Wenzako tunapiga ishu zetu wewe subiri kuletewa mwana!
 
Jipange vema ujiajili acha kelele.


    • tulieni muda ukifika yatatoka,alietoa kauli pia ni binadamu kama leo ni weekend wakati anatoa kauli hakujua tar25 ni lini..?,wewe mwalimu unawaza hivi na umeahidiwa ajira je aliesoma sheria,uhasibu,masoko anahari gani na ulimaliza nae chuo mwaka mmoja, ambae hajui lini atapata hata hiyo laki nne na nusu,Pia wale lelemama wawe tayari kutoa pesa ili wa hamishwe vituo,...Nawatakia kila la kheri huko muendako kama ni Kazula mimba,Ulindi wa noni,Mpuwi,Chala,Maji moto au Katumba mkapige kazi msilete njonjo mkakimbia vituo vya kazi maana wengi wenu enzi mko chuo mlikuwa mnamaisha ya kuangalia Series,Kwenda club,unywaji wa pombe wengine ma deej wa hostel na kila mtu aliishi maisha mazuri kama wote mmetoka familia moja,wengi wenu mlijitambulisha kuwa mnatoka DAREESSALAAM na ARUSHA utafikiri sehemu zingine watu hawaishi,kajifunzeni kuishi vizuri na NZENGO huko hakuna mate.......................... ....KILA LA KHERI WALIMU.............Ni usia wangu mdogo tu...(MWALIMU NDIO MKOMBOZI WA TAIFA)




 
Back
Top Bottom