Ajira: Anahitajika Dr wa mifugo

Ajira: Anahitajika Dr wa mifugo

rolla

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
2,270
Reaction score
1,207
Anahitajika kijana (miaka 22-26) daktari wa mifugo mwenye cheti au diploma kutoka chuo kitachotambulika na serikali kwa ajili ya kusimamia Shamba la mifugo kama Bata, mbuzi, ngo'mbe na ngamia. Shamba lipo mkuranga, kata ya Bupu. Atakayebahatika kupata nafasi anatalazimika kukaa Shambani. Shamba letu litampa nafasi kipekee kwa kutumia ujuzi wake kwa vitendo. Mwisho wa kuomba ni 30.01.2025. Tuwasiliane inbox.
 
Salary scale ikoje nikupe vijana wenye ujunzi na uzoefu wa kutosha
 
Mrejesho. Tulimpata mdada mmoja makini Sana. Kuna mtu ameuliza mshahara: sisi tunatoa posho ya kujikimu, malipo yatakuwa kwa asilimia tuliyokubaliana kwenye Faida kila tarehe 31/12 baada ya kutoa gharama za uendeshaji. So far so good. Tunawashukuru wote mlionyesha Nia na mliofika kwenye interview shambani. Mungu awabariki na awape wepesi katika mihangaiko yenu.
 
Back
Top Bottom