Ajira EAC Secretariat

KATIBA mpyaa ..tuondowe mazuzu huko....mmoleyahombokelaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Shida wawakilishi kwenye hilo bunge....
 
Hapo South Sudan tunawaburuza tu wale jamaa wanawaza kupasuana tu
 
Siwaamini wawakilishi kabisa. Ila jamaa aache story zisizo na ukweli. Anatufanya tuonekane malofa katika kila kitu.
Mkuu wanatakiwa wapikwe msasa ikibidi madodoki niko KASUMBALESA Mtanzania nakula matunda ya Sadec ikibidi mpaka Lake Chad wasamehe...
 
Siwaamini wawakilishi kabisa. Ila jamaa aache story zisizo na ukweli. Anatufanya tuonekane malofa katika kila kitu.
Wao kazi yao ni kusema ndiyooo....hawajuwi unapo kuwa kwenye hilo Bunge ni sawa kama uko European union
 
Ngoma inarudiwa. Mje Tena kulalamika humu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…