Toka mwaka jana Serikali iliahidi kutoa ajira kadhaa kwenye sekta ya afya na elimu, kati ya mwezi wa kwanza au wa pili na haijawa, katika bunge la bajeti waziri akaahidi kabla ya June 31 ajira zitakuwa zimetolewa ila hadi leo mwaka mwingine wa fedha umeanza bado kimya.
Je, kama hawakuwa na mpango kwanini watoe ahadi za uongo? Hawaoni wanaharibu akili za wahanga wa ajira, ambao tuna karibia miaka kumi mitaani?
Je, kama hawakuwa na mpango kwanini watoe ahadi za uongo? Hawaoni wanaharibu akili za wahanga wa ajira, ambao tuna karibia miaka kumi mitaani?