ajira fasta

dbrane

Member
Joined
Jul 23, 2012
Posts
31
Reaction score
5
jaman asilimia kubwa ya graduate wengi hawana kaz ili kuwasaidia jaman msichague kaz, kuna ajira za kujiskiza ka customer care hasa kwa tigo, airtel voda na zantel. Kwa kusaidia nenden airtel moroco recruiting agency agency wao ni spanco raps uliza kwa askari atakuelekeza. Wanahitaji wahitimu wa 4m 6 na kuendelea. Kuhusu tigo voda na zantel. Kaz kwenu
 

SPANCO wanalipa 250000 gross na mnakua si waajiriwa wa AIRTEL bali hao wahindi. Ni noma aise
 
mmhh,hebu nielekezeni vizuri niende nipeleke hizo cv manaake ni balaa
 
ni ndogo sana kwa maisha ya mtanzania...
 
Sio ndogo mzazi..kuliko kung'aa sharubu kitaa ni bora kupata hizo cents.
 
Tueleze vizuri mkuu ili tukienda tunaenda kamili, ni nini zaidi unatakiwa kuenda nacho?
 
Yan kama ndio yule muhind alo2fanyia sisi intavyu afu anasema namba fulan fulan and fulan stand up go out and waliobak mmepita..bas itakua hatar cna ham nao.
 
Nikutumie CV yangu? Uni tumie kwa hao agency? Mtaani pagumu kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…