Ajira katika sanaa ni mwelekeo sahihi wa taifa

Joined
Nov 6, 2016
Posts
77
Reaction score
271
Na Comrade Ally Maftah

Nimefarijika sana kumsikiliza rafiki yangu sana Dr Gervas Kasiga ( Mhadhiri wa Chuo Kikuu Cha Dodoma ) kwamba mwelekeo mwingine wa ajira ni katika sana, ni hakika kwamba Dr Kasiga ambae alikuwa muigizaji wa zamani katika mapinduzi ya pili ya sanaa za maigizo akiwa na wakongwe Single Mtambalike, Raymon Alen ( Bishanga ) nk kipindi hiko, anatumia elimu yake kwa uweredi mkubwa sana katika kunasibisha sanaa na elimu.

Kama ingekuwa nina nafasi nzuri ya kuishauri Serikali basi ningeshauri Gervas atumiwe vizuri zaidi

Ndimi
Comrade Ally Maftah
JITU LA MIRABA
RAFIKI WA WOTE

Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…