Ajira kiwandani mkoa wa Pwani

Ajira kiwandani mkoa wa Pwani

IBRA wa PILI

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2017
Posts
1,503
Reaction score
2,426
Hallow hallow Mambo vipi wadau wa JF hope mko poa ok baada ya kushusha thread hii👇👇


Kuna mdau alinifata PM na kunipa muongozo wa kupata ajira za viwandani.

Hii ni baada ya kuona Nina kiu ya kupambana kutokana na kupoteza muda mrefu kule Mozambique na mwisho kuambulia patupu na jamaa yangu kutonipa chochote.

Sasa uyu ndugu wa JF amenipa connection hapo mkuranga pwani kijiji cha mkiu niwe na mkwanja kidogo wa kuhonga then nachoma ulingoni kuhusu humo ndani afahamu zaidi ya ilo la kujiunga tu kwa kuhonga.

Kiwanda ni cha Tiles kampuni ya wachina kama ivyo.

Je, kuna mwenye ABC ufanyaji wao wa kazi, care Yao Kwa wafanya kazi, malipo, na Aina ya kazi za humo ndani?

Please wakuu utani tuweke pembeni tuwe series kama unafahamu shusha nondo pia itwasaidia wengine.

ASANTENI🙏
 
Oky kingine kipo pale kokoto..
Njia ya kwenda kongoe kabla ujavuka mzinga...
Ufanyaji wao kazi...
Inategemea unaenda wewe pale kama skilled au unskilled labour
Upande wa unskilled labour kazi zake ni too heavy unacheza na vumbi sio poa

Care yao..
Care yao ya kawaida sana
Kama haupo care wewe mwenyewe vumbi linaweza kukuathiri sana kutokana na vifaa vinavyotumika sio friendly na afya yako

Malipo..
Inategemea upo kitengo gani kwa unskilled less than 10000 per day
Hivyo tuu kwa haraka haraka mkuu
 
Oky kingine kipo pale kokoto..
Njia ya kwenda kongoe kabla ujavuka mzinga...
Ufanyaji wao kazi...
Inategemea unaenda wewe pale kama skilled au unskilled labour
Upande wa unskilled labour kazi zake ni too heavy unacheza na vumbi sio poa

Care yao..
Care yao ya kawaida sana
Kama haupo care wewe mwenyewe vumbi linaweza kukuathiri sana kutokana na vifaa vinavyotumika sio friendly na afya yako

Malipo..
Inategemea upo kitengo gani kwa unskilled less than 10000 per day
Hivyo tuu kwa haraka haraka mkuu
Asante mdau je hawa ni pamoja na hao tiles Good will? hapo juu umesema kingine Una maanisha ni kiwanda Chao kingine pia au ni vip?
 
Walikuwa wanalipa elfu tano kwa siku sijui kama wamepandisha viwanda vyenye malipo mazuri kule maeneo yale ni neel salt na kiwanda kimoja cha wazungu kinaitwa knauf ila vingine changamoto watu wanalipwa elfu 3 kwa siku.
 
Walikuwa wanalipa elfu tano kwa siku sijui kama wamepandisha viwanda vyenye malipo mazuri kule maeneo yale ni neel salt na kiwanda kimoja cha wazungu kinaitwa knauf ila vingine changamoto watu wanalipwa elfu 3 kwa siku.
Aisee asante Kwa taarifa mdau vipi uliwai fanya kazi hapo?
 
Kuna dogo mmoja jirani yangu mwaka jana 2022. Aliitwa na jamaa yake kama hivo kiwanda mkuranga kipi naomba niweke kapuni.

Dogo akaenda day one, kufika akakuta jamaa wengi nje, asubuhi saa mbili wamekaa hawafanyi kazi.
Mlango ulipofunguliwa wakaingia 30 tu kati ya mia na kitu walio nje.
Wamepiga kazi mpaka saa saba kwa mbinde.
Kiroba cha kilo 25 kinashushwa wao wanabeba wanapeleka kwenye ghala.
Hamna story ni kazi. Mashine inaunguruma tu. Ni viroba juu ya viroba.
Sasa saa saba muda wa kula mashine zina zimwa. Kuja kuangalia alipokua anapeleka viroba, kaweka mlima zaidi ya viroba 500,
Wameenda kula ile kurudi, walirudi watano😂😂😂😂.
Mashine zimeanza kuunguruma viroba vinashuka tu. Alibeba kumi tu. Akatoka nje, kufika nje anakuta jamaa wanadai ujira wa siku tatu hawajalipwa. Aliondoka pale pale. Nilimkuta jioni karudi kachoka sana. Ndio kanipa hii story.
 
Kuna dogo mmoja jirani yangu mwaka jana 2022. Aliitwa na jamaa yake kama hivo kiwanda mkuranga kipi naomba niweke kapuni.

Dogo akaenda day one, kufika akakuta jamaa wengi nje, asubuhi saa mbili wamekaa hawafanyi kazi.
Mlango ulipofunguliwa wakaingia 30 tu kati ya mia na kitu walio nje.
Wamepiga kazi mpaka saa saba kwa mbinde.
Kiroba cha kilo 25 kinashushwa wao wanabeba wanapeleka kwenye ghala.
Hamna story ni kazi. Mashine inaunguruma tu. Ni viroba juu ya viroba.
Sasa saa saba muda wa kula mashine zina zimwa. Kuja kuangalia alipokua anapeleka viroba, kaweka mlima zaidi ya viroba 500,
Wameenda kula ile kurudi, walirudi watano😂😂😂😂.
Mashine zimeanza kuunguruma viroba vinashuka tu. Alibeba kumi tu. Akatoka nje, kufika nje anakuta jamaa wanadai ujira wa siku tatu hawajalipwa. Aliondoka pale pale. Nilimkuta jioni karudi kachoka sana. Ndio kanipa hii story.
Du Hatari Sana ungetaja Tu mkuu kiwanda flani kuwaepusha wadau aiwez leta shida
 
Kile kiwanda wasukuma ndio wengi.
Wale wakongwe kabisa wanakaa hostel za wachina

Wengine wamepanga Mkiu
Njopeka
Kimanzi

Nasikia ni 280,000 kwa mwezi
 
Kile kiwanda wasukuma ndio wengi.
Wale wakongwe kabisa wanakaa hostel za wachina

Wengine wamepanga Mkiu
Njopeka
Kimanzi

Nasikia ni 280,000 kwa mwezi
Shukran mdau napata madini na pia kufanya maamuzi juu ya hili pia kuna mtu nae Kaniambia ivyo mshahara 280/290
 
Back
Top Bottom