Mwenye kujua kuhusu ajira mpya za walimu kwa waliomalza mwaka huu ngazi ya stashahada na Astashahada atujuze kama lini zitatoka! Maana kuna tetesi kua huwenda zikatoka mwezi wa kumi.
Nikweli kuwa walimu wa diploma waliomaliza chuo mwaka huu na wadegree watakaomaliza mwaka huu kuajiriwa kabla ya uchaguzi? Msaada wenu tafadhari wana JamiiForums.
mnazingua bana sasa,mnaanzisha thread mia mia kwa kitu hicho hicho,katafute tempo huko umeckia wapi mkiajiriwa mwezi wa 10?hio mwakani ni probability kama umesoma ngwini jipange
mnazingua bana sasa,mnaanzisha thread mia mia kwa kitu hicho hicho,katafute tempo huko umeckia wapi mkiajiriwa mwezi wa 10?hio mwakani ni probability kama umesoma ngwini jipange
hivi ww umeona thread inahitaji ushauri? hilo ni swali kama huwez unakaa kando na sikila anae weka ni mwalimu no tunawasaidia tu walimu kama ww hivyo wanao sumbua mitaani.
Mchakato wa Ajira za walimu ni kuanzia february mosi 2016 ambapo wizara ya elimu kupitia tamisemi itaomba vibali vya kuajiri utumishi. Pia kuanzia mwakani ajira za walimu zitatolewa kwa makundi kwa wale wenye masomo ya sanaa(arts) ngazi ya shahada na stashahada. Kwa wale wa astashahada(cheti) wataajiriwa wote.