Ajira kwa walimu wapya ni lini???

Ajira kwa walimu wapya ni lini???

KAMBUNDA

Member
Joined
Jan 2, 2013
Posts
79
Reaction score
8
napenda kufahamu ajira za walimu zinatoka lini??? Halafu serikali inasema kuwa elimu ya tanzania ipo nyuma,, sasa je uanafikiri wanafunzi watapataje elimu bila ya kuwa na walimu?? Mnaweza kusema et serikali haina pesa.... Hakuna serikali danganyifu kama ya tanzania!!
 
waambie ndugu zangun kule mtwara waongeze vita, maana wasipoangalia gas yao itakwisha kama tanzanite, nawatafaidi maisha mfumko wa bei tu ya vitu, ikifika dar tu! wanajenga bomba lingine kwenda south africa.
mtwara endeleeni kukomaa
 
"Walimu wapya wataajiriwa January 2013" JK.....Kama kauli mbiu ya maisha bora kwa kila Mtz ilitekelezwa basi na hii itatimizwa kabla ya kuisha kwa January
 
zote ni siasa tu,,labda kama kuna january ya ccm ndo wataajir walimu.:target:
 
Back
Top Bottom