Jonas jumanne
New Member
- Dec 14, 2011
- 3
- 0
Mwalimu hujui hata kuandika "tiali" au tayari ,ww utafundisha kweli mtu aelewe au kuharibu vijana wetu.
Nimesikia zinatoka mwakani mwezi wa 7. Wakati unasubiri kuajiriwa, anzisha tuition mwalimu.
hi jamii.naomba mnisaidie wanajamii,tangu mwezi wa7 wanachuo wamemaliza na mpaka wa9 matokeo vyuo vyote yalikuwa tiali.mwezi wa10 post za ualim zilipangwa na wizra uko moro,lakin mpaka leo hawataki kurelease izo post za ualim.asa 2fanyeje?2shachoka kukaa
Na huko ajiandae kukaa mwaka mmoja kabla jina lake halijaingizwa kwenye payroll na kuanza kupata mshaharaUsjal, anytime utapata gud news, Jan utarpot bt be ready kwenda bush!
hahahahaaa mkuu nimecheka kweli, huyu ndiyo anataka kuwafataki tu, watoto wetu!Mwalimu hujui hata kuandika "tiali" au tayari ,ww utafundisha kweli mtu aelewe au kuharibu vijana wetu.
jibu content na sio structure! Umeulza kumark au kutoa hoja? Wabongo bhana!
Hapo ndo penyewe.maandamano
Na huko ajiandae kukaa mwaka mmoja kabla jina lake halijaingizwa kwenye payroll na kuanza kupata mshahara
Mwalimu hujui hata kuandika "tiali" au tayari ,ww utafundisha kweli mtu aelewe au kuharibu vijana wetu.