Nchi yetu ni masikini, wakati wanasheria wakilalamikia ajira zitoke za kutosha na wakihitajika huko JWTZ nako inatakiwa waajiriwe wanajeshi kwa idadi ya kutosha sababu wanajeshi wengi wanastaafu kila mwaka kwa batch kubwa kubwa
Resources ndio tatizo
Nchi yetu ni masikini, wakati wanasheria wakilalamikia ajira zitoke za kutosha na wakihitajika huko JWTZ nako inatakiwa waajiriwe wanajeshi kwa idadi ya kutosha sababu wanajeshi wengi wanastaafu kila mwaka kwa batch kubwa kubwa