Realbest JF-Expert Member Joined Aug 5, 2013 Posts 812 Reaction score 300 Dec 2, 2013 #1 Jaman kwa habari znazo zidi kuvuja inasemekana kuwa ajira mwaka huu itachelewa kidogo hadi mwezi Wa nne, Je kuna ukwel wowote wadau?
Jaman kwa habari znazo zidi kuvuja inasemekana kuwa ajira mwaka huu itachelewa kidogo hadi mwezi Wa nne, Je kuna ukwel wowote wadau?
Jile79 JF-Expert Member Joined May 28, 2009 Posts 17,668 Reaction score 13,263 Dec 2, 2013 #2 Umesikia wapi?............muulize vizuri huyo bana alafu tuletee habari kamili
Realbest JF-Expert Member Joined Aug 5, 2013 Posts 812 Reaction score 300 Dec 2, 2013 Thread starter #3 nalfanyia utafiti wa kina mkubwa
M MLEMVYA RASHID Member Joined Aug 1, 2013 Posts 89 Reaction score 11 Dec 2, 2013 #4 Sio kweli ndg ajira zitatoka mapema mwakani...lakini zitatoka kwa awamu(intake) watu wa BAED wana advantage
Sio kweli ndg ajira zitatoka mapema mwakani...lakini zitatoka kwa awamu(intake) watu wa BAED wana advantage
Rjohn JF-Expert Member Joined Feb 28, 2012 Posts 613 Reaction score 128 Dec 2, 2013 #5 MLEMVYA RASHID said: Sio kweli ndg ajira zitatoka mapema mwakani...lakini zitatoka kwa awamu(intake) watu wa BAED wana advantage Click to expand... we jamaa nimuongo muongo xsana hivi hulifaham hili
MLEMVYA RASHID said: Sio kweli ndg ajira zitatoka mapema mwakani...lakini zitatoka kwa awamu(intake) watu wa BAED wana advantage Click to expand... we jamaa nimuongo muongo xsana hivi hulifaham hili
Realbest JF-Expert Member Joined Aug 5, 2013 Posts 812 Reaction score 300 Dec 2, 2013 Thread starter #6 Rjohn said: we jamaa nimuongo muongo xsana hivi hulifaham hili Click to expand... Koo we unavojua ajra li?
Rjohn said: we jamaa nimuongo muongo xsana hivi hulifaham hili Click to expand... Koo we unavojua ajra li?
C Complex number JF-Expert Member Joined Apr 28, 2012 Posts 217 Reaction score 56 Dec 2, 2013 #7 Ajira za fani gani?
M MLEMVYA RASHID Member Joined Aug 1, 2013 Posts 89 Reaction score 11 Dec 2, 2013 #8 Ajira mapema mwakani watarelease ss unaesema mm muongo hebu tuambie ww mkweli.
N Ndala ndefu JF-Expert Member Joined Dec 24, 2012 Posts 237 Reaction score 42 Dec 3, 2013 #9 Ajira mwaka hakuna, maaana serikali haina pesa. Nyie si mmeckia hata mwezi huu serikali imesua sua kuwalipa watumishi mishahara? Endeleeni kukomaa vijiweni au kupaka rangi mitaaani.
Ajira mwaka hakuna, maaana serikali haina pesa. Nyie si mmeckia hata mwezi huu serikali imesua sua kuwalipa watumishi mishahara? Endeleeni kukomaa vijiweni au kupaka rangi mitaaani.
Realbest JF-Expert Member Joined Aug 5, 2013 Posts 812 Reaction score 300 Dec 3, 2013 Thread starter #10 Hlo swala nmelisikia mkubwa na ndomaana nkaiweka mada hii, Kwamba mwaka huu huenda ukawa hstoria
Realbest JF-Expert Member Joined Aug 5, 2013 Posts 812 Reaction score 300 Dec 3, 2013 Thread starter #11 za ualimu kaka