Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi taarifa ni za kweli TRA wanaupungufu wa wafanyakazi na uhitaji wao ni jumla ya wafanyakazi 3100. Tayari wameanza hao 1100. Ila mwezi wa 4 au 5 watatoa tangazo tena la wafanyakazi 1000 kwa awamu au watatoa zote 2100.
Bajeti ya 2022-2023View attachment 2148784View attachment 2148787Habari waheshimiwa, nimeona kwenye gazeti la jana la mwananchi kuwa Rais ametoa ajira nyingine 2100 zaTRA. Nimeambatanisha vielelezo ikiwa ni pamoja na screenshot kutoka kwenye page ya millardayo post za jana gazeti la tarehe 12/02/2022.
1000 na kitu.Hizi taarifa ni za kweli TRA wanaupungufu wa wafanyakazi na uhitaji wao ni jumla ya wafanyakazi 3100. Tayari wameanza hao 1100. Ila mwezi wa 4 au 5 watatoa tangazo tena la wafanyakazi 1000 kwa awamu au watatoa zote 2100.
Kivipi wamekupotezea muda?Hakuna kitu Kaka Lima Kama unalima fanya chochote Hawa wajinga wamenipotezea muda wangu
Soma vizuri,ni bajeti ya 22-23, means hizo ajira mpya zitatangazwa kuanzia mwezi July huko.Hizi taarifa ni za kweli TRA wanaupungufu wa wafanyakazi na uhitaji wao ni jumla ya wafanyakazi 3100. Tayari wameanza hao 1100. Ila mwezi wa 4 au 5 watatoa tangazo tena la wafanyakazi 1000 kwa awamu au watatoa zote 2100.
Mkuu swala la budjet kuanza mwezi wa 7 2022 ,mwaka mpya wa fedha wa serikali halihusiani na mchakato kuanza hata kesho maana kibali kimeshatoka hivyo muda wowote wanaanza ila taasisi husika kifedha lazima watu wanze kazi kuanzia mwaka huo wa fedha.Soma vizuri,ni bajeti ya 22-23, means hizo ajira mpya zitatangazwa kuanzia mwezi July huko.
Kumbe ndo maana wameita watu wengi1000 na kitu.
Hakuna tangazo tena, watachukuliwa wa kwenye database kwa watakaofanya oral hivi karibuniHizi taarifa ni za kweli TRA wanaupungufu wa wafanyakazi na uhitaji wao ni jumla ya wafanyakazi 3100. Tayari wameanza hao 1100. Ila mwezi wa 4 au 5 watatoa tangazo tena la wafanyakazi 1000 kwa awamu au watatoa zote 2100.