DOKEZO Ajira mpya kada ya afya halmashauri nyingi hatujapokea fedha za kujikimu toka November 2024

DOKEZO Ajira mpya kada ya afya halmashauri nyingi hatujapokea fedha za kujikimu toka November 2024

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
A

Anonymous

Guest
Ajira mpya kada ya afya halmashauri nyingi hatujapokea fedha za kujikimu toka November 2024.

Tunaishi mazingira magumu kutokana na kukosa fedha hizo za kuanzia maisha.

Tumetumia gharama kubwa sana kuanzia kwenye usaili, na mchakato mzima wa kuripoti kazini.

Tunaomba serikali ifanyie kazi hili swala maana linafanya utendaji kazi wetu kuwa mdogo kulingana na mazingira yetu ya kazi.

Pia soma ~ Kada ya Afya - Halmashauri ya Kilosa hatujalipwa fedha za kujikimu, tumeambiwa hadi hali ya fedha itakapotengemaa
 
Achana na hio kuna ingine ya kuwa halmashauri ya jirani wanasainishwa 120k pesa ya kujikimu nyie mnasainishwa 80k zote ni halmashauri na ukiwauliza wenzenu waliopita wanawaambia walisainishwa 120k ukihoji unapewa maelezo yasioyoeleweka
 
Back
Top Bottom