ajira mpya utumishi

ajira mpya utumishi

Eselo

Member
Joined
Jul 30, 2012
Posts
41
Reaction score
9
jamni naomba mnijuze nasikia kuna ajira zimetoka za maafisa takwimu,vifaa,,ni kweli plz anayejua anisaidie
 
  • :evil:
fanya kazi zako mwenyewe acha utegemezi kama hakuna ajira huwezi fanya kazi
 
HABARI MIMI SIJAWAHI KUWEKA POST JAMII SASA NASHINDWA PA KUWEKA ADI ITOKEE NA ISOMWE NA WOTE TAFHADHALI NISAIDIENI KULIPELEKA HIli swali langu PANAPOHUSIKA.
Habari wadau!
Mimi ninashida nimeona niilete hapa nanyi mnisaidie kwakuwa najua watu wengi wanapita Jamii hivyo nitapata ufumbuzi haraka.Nimeajiriwa na Kampuni moja inayojihusisha na BIMA "Broker".Nilikuwa moja wa waanzilishi na hivi sasa inamwaka na inafanya vizuri tu katika biasha.Nina mkataba ambao haujaeleza ni wa muda gani hivyo hilo limenipelekea kuhisi labda hiyo ndiyo "permanent contract"Tatizo ni kwamba juzi Bosi wangu ametuambia anafunga biashara kwakuwa inampa "Stress" na kutokana na ukweli kwamba adi sasa ajapata "leseni" hivyo anafunga na akifanikiwa kuipata leseni basi ataiuza kampuni yake.Kwa hivyo kuanzia sasa sisi tutafute kazi mahala pengine na kwamba he will provide a one month compensation package.
Wadau swali langu ni je haki imetendeka hapo?Huwa inakuwaje kama mwajiri atavunja mkataba wa mfanyakazi?Ananiambia atanipa mshahara wa mwezi moja lakini Damages alizo sababisha ni kubwa kuliko hiyo pesa atakayonipa.Naombeni Ushauri wenu.
 
Mbona hujasema 'damage' ni kiasi gani unavyoona wewe binafsi. Pia ungechukua mkataba na kuwaona wanasheria maana hapa wengi si wanasheria /hatuna nakala ya huo mkataba ili kukupa maoni kama yupo sahihi.




HABARI MIMI SIJAWAHI KUWEKA POST JAMII SASA NASHINDWA PA KUWEKA ADI ITOKEE NA ISOMWE NA WOTE TAFHADHALI NISAIDIENI KULIPELEKA HIli swali langu PANAPOHUSIKA.
Habari wadau!
Mimi ninashida nimeona niilete hapa nanyi mnisaidie kwakuwa najua watu wengi wanapita Jamii hivyo nitapata ufumbuzi haraka.Nimeajiriwa na Kampuni moja inayojihusisha na BIMA "Broker".Nilikuwa moja wa waanzilishi na hivi sasa inamwaka na inafanya vizuri tu katika biasha.Nina mkataba ambao haujaeleza ni wa muda gani hivyo hilo limenipelekea kuhisi labda hiyo ndiyo "permanent contract"Tatizo ni kwamba juzi Bosi wangu ametuambia anafunga biashara kwakuwa inampa "Stress" na kutokana na ukweli kwamba adi sasa ajapata "leseni" hivyo anafunga na akifanikiwa kuipata leseni basi ataiuza kampuni yake.Kwa hivyo kuanzia sasa sisi tutafute kazi mahala pengine na kwamba he will provide a one month compensation package.
Wadau swali langu ni je haki imetendeka hapo?Huwa inakuwaje kama mwajiri atavunja mkataba wa mfanyakazi?Ananiambia atanipa mshahara wa mwezi moja lakini Damages alizo sababisha ni kubwa kuliko hiyo pesa atakayonipa.Naombeni Ushauri wenu.
 
Asante.Mkataba ninao na pia hilo wazo la kumuona mwanasheria ninalo ila nataka kwanza anipe barua ya kunisimamisha kazi kabisa.Na kwa upande wa damage, kiukweli nilikuwa sina wazo la kurudi chuo mwaka huu lakini alipokuwa anatuajiri alituahidi kwamba hata mtu akienda kusoma offisi itamsaidia kiasi cha ada, sasa mimi naanza chuo mwezi ujao nikitegemea mshahara wangu kwakujua kazi ninayo ya kuniwezesha sasa gafla ananiambia kazi basi? alafu pia nimechukua mkopo mahala niendeleze mjengo wangu nikijua kwa kiasi cha mshahara wangu nitalipa bila matatizo leo yy ananiambia kazi basi si anataka niugue wazimu?shule nitaenda kweli? na deni je c ntafugwa?
 
Mrembo kilimanjaro...pole kwa ayo yote unayopitia. Kama nimekuelewa umesema bosi wako anataka kufunga biashara kwa kuwa hajapata leseni!na ww unahitaji kazi ivo akisimamisha biashara utamshitaki,na ww unakili hana leseni,je apo unapaswa kuwa na dhamira ya kushitaki kweli?au unataka kumkomoa na kumuongezea stress?turudi kwenye sheria za ajira,je mwajiri akiamua kumsimamisha kazi anampa notice ya muda gani?je anapaswa kumlipa sh ngapi?nijuavo ni one month gross salary,hapa ni kwa employment without specified term. Sasa unaanzaje kushitaki?na je umepata damage au damages?ikumbukwe izi ni terms zenye maana tofauti kabisa. Na kama unaweza kufanya kazi iweje uangaike kudai kisheria?natamani ungekubaliana na mwajiri kuwa stress za mwajiri mdogo kama uyo ni stress za wote. Wisely kubali kutafta kazi kwingne. Ni ayo tu.
 
hakuna kazi mpya kila siku huwa napita utumishi .com

Inaonekana bado inakuchanganya. Ofisi ya Raisi Menejiment ya Utumishi wa Uma, commonly known as Utumishi, ni wizara na sio Sekretariate ya Ajira yaani Public Service Recruitment Secretariat (PSRS). Wadau wengi pamoja na wewe wameku wakichanganya kwa sababu PSRS hawakuwa na Website hivyo matangazo yao yote yamekuwa yakipitia Utumishi, lakini sasa wamezindua tovuti yao rasmi. Go through PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT - PSRS na sio Public Service Management kama ilivyokuwa mwanzo.
 
Inaonekana bado inakuchanganya. Ofisi ya Raisi Menejiment ya Utumishi wa Uma, commonly known as Utumishi, ni wizara na sio Sekretariate ya Ajira yaani Public Service Recruitment Secretariat (PSRS). Wadau wengi pamoja na wewe wameku wakichanganya kwa sababu PSRS hawakuwa na Website hivyo matangazo yao yote yamekuwa yakipitia Utumishi, lakini sasa wamezindua tovuti yao rasmi. Go through PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT - PSRS na sio Public Service Management kama ilivyokuwa mwanzo.
Namimi sizungumzii psm bali ni psrs mkuu
 
Haaaa
Afya unayo
Nguvu unayo
Elimu unayo
Unasubiri nini??????

Haya
Ujuzi umeupata
Hela """"" nadhani 1 milion haukose!!!
Wateja wa huyo Boss, unawajua
Wataka nini zaidi????

Play your party.......
Ongea na wafanyakazi wwnzako kama watatu, tengeneza mkataba 1/3 share holding
Anzisha kampuni, weka jina safi, mnasimama as Broker!!!

Baada ya miaka 10, haaaaaaa, mamilionea wa kutupwa!!!

HABARI MIMI SIJAWAHI KUWEKA POST JAMII SASA NASHINDWA PA KUWEKA ADI ITOKEE NA ISOMWE NA WOTE TAFHADHALI NISAIDIENI KULIPELEKA HIli swali langu PANAPOHUSIKA.
Habari wadau!
Mimi ninashida nimeona niilete hapa nanyi mnisaidie kwakuwa najua watu wengi wanapita Jamii hivyo nitapata ufumbuzi haraka.Nimeajiriwa na Kampuni moja inayojihusisha na BIMA "Broker".Nilikuwa moja wa waanzilishi na hivi sasa inamwaka na inafanya vizuri tu katika biasha.Nina mkataba ambao haujaeleza ni wa muda gani hivyo hilo limenipelekea kuhisi labda hiyo ndiyo "permanent contract"Tatizo ni kwamba juzi Bosi wangu ametuambia anafunga biashara kwakuwa inampa "Stress" na kutokana na ukweli kwamba adi sasa ajapata "leseni" hivyo anafunga na akifanikiwa kuipata leseni basi ataiuza kampuni yake.Kwa hivyo kuanzia sasa sisi tutafute kazi mahala pengine na kwamba he will provide a one month compensation package.
Wadau swali langu ni je haki imetendeka hapo?Huwa inakuwaje kama mwajiri atavunja mkataba wa mfanyakazi?Ananiambia atanipa mshahara wa mwezi moja lakini Damages alizo sababisha ni kubwa kuliko hiyo pesa atakayonipa.Naombeni Ushauri wenu.
 
Unless kuna makubaliano ya zaidi lakini kwa kawaida Permanent na temporary contract zinaweza kuvunjwa na either of the parties, wewe au mwajiri wako. Unaweza kutoa notisi ya miezi mitatu na yeye anaweza kukupa notisi ya miezi mitatu kwa Permanent contract. Kwa temporary unaweza kutoa/kupewa notisi ya siku 28. Au kwa zote mbili unapewa/kutoa notisi ya saa 24 na mshahara wa mwezi mmoja... unalipwa au unalipa kutegema nani anayetoa notisi. Halafu huko Private kuna Permamanent Contract kweli? Mrembo kilimanjaro?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom