Kwa sasa sisi kama serikali hatuna pesa,pesa tumeelekeza katika kuboresha daftrai la mpiga kura,kura ya maoini, uchguzi mkuu.Nyie tutawajili 2016 mwezi wa 7.Ukipata taarifa hii mjulishe na mwenzako,sisi kama serikali hatutaki usumbufu kwasasa,hata vijana wenzenu wa JKT tumeshawaambia.
Kagose Hahahaha nimecheka sana mkuu. Inamaana jamaa yuko kijijini?
Na wewe unayecheka ukute uko MWANZA ukijidhania uko mjini......................
Limbukeni tu huyo..............Na wewe unayecheka ukute uko MWANZA ukijidhania uko mjini.
Tetesi zipo ndugu yangu, matumaini makubwa ya ajira izo kutangazwa rasmi ni mwezi huu wa pili.