Ni kweli ila kuna ndugu yangu hapa ameanza kunisumbua na najua amemaliza chuo majuziSubira yakuta kheri...
Mtu aliyezaliwa 1985 tayari keshajuwa mzee? Duh!1. uwe unatokea tanga
2. uwe unatikea karagwe
3. uwe na mdau uliyempenyeza 1milioni, na utaongezea milioni ukipata. usipomalizia hupati check.
4. wazee waliozaliwa 1985 kurudi nyuma
5. phy, math na it
6. kubahatisha hawavuki 342
over
over
over
Na walio wengi ndio hao waliajiriwa private tayar wanatoka uko wanakuja gvmt