Kv-london JF-Expert Member Joined Jan 24, 2014 Posts 2,877 Reaction score 5,022 May 12, 2014 #1 Jaman wapendwa wana jf nlikuwa naulizia kwa anayefahamu kuhusu ajira mpya za walimu kwa wale tuliokosa post kwa awamu ya kwanza je serekal inasemaje? naomba mwenye ufahamu atujuze kuhusu hilo
Jaman wapendwa wana jf nlikuwa naulizia kwa anayefahamu kuhusu ajira mpya za walimu kwa wale tuliokosa post kwa awamu ya kwanza je serekal inasemaje? naomba mwenye ufahamu atujuze kuhusu hilo
Evelyn Salt JF-Expert Member Joined Jan 5, 2012 Posts 70,916 Reaction score 141,437 May 12, 2014 #2 Mwalimu kwanini usitafute tempo ufundishe wakati unasubiri hizo ajira? tamisemi wamekaa kimya hakuna taarifa yoyote....
Mwalimu kwanini usitafute tempo ufundishe wakati unasubiri hizo ajira? tamisemi wamekaa kimya hakuna taarifa yoyote....
sulle23 JF-Expert Member Joined Apr 1, 2014 Posts 230 Reaction score 14 May 12, 2014 #3 ni kweli wakati unasubiri au kuhangaikia endelea na shughuli zingine
N NUUMA BAKUNYA Member Joined Feb 19, 2013 Posts 23 Reaction score 1 May 12, 2014 #4 pole kwa kukosa ajira nenda kwa mkuu Wako wa Chuo uliko Malizia uone anasemaje make nao huwa wanapeleka majina kwa walio sahahulika au nenda tamisemi Dodoma au Dar upate uhakika kamili kuliko kukaa jf aitakusaidia
pole kwa kukosa ajira nenda kwa mkuu Wako wa Chuo uliko Malizia uone anasemaje make nao huwa wanapeleka majina kwa walio sahahulika au nenda tamisemi Dodoma au Dar upate uhakika kamili kuliko kukaa jf aitakusaidia