Mkuu nimeyaona
Mkuu nimeyaona
Majina yalikuwepo ila wengi pia wameachwa kwa kigezo cha umri na kukosa vigezo. Kuripoti tar 25 hadi 30 mwezi huu wa sita na nje ya hapo hupokelewi. Ingawa kuna jamaa zangu wengi wameachwa na mimi pia nikiwepo pamoja na kuwa na sifa zote.
Majina yalikuwepo ila wengi pia wameachwa kwa kigezo cha umri na kukosa vigezo. Kuripoti tar 25 hadi 30 mwezi huu wa sita na nje ya hapo hupokelewi. Ingawa kuna jamaa zangu wengi wameachwa na mimi pia nikiwepo pamoja na kuwa na sifa zote.
Mbona wameyaondoa ?? Na mbali na hilo watu wengine hawapo pia nikiwepo mimi na jamaa zangu watatu sijawaona dah!
Tunaomba utueleze ktk kigezo cha umri wamechukua wenye umri usiozidi upi?
Hata sijajua ila ndivyo walivyo andika kwenye tangazo lao.
We umetoka?Poleni, Naumia Sana Kuona Kuna Wenzangu Mmeachwa Tena, Nendeni TAMISEMI mjue tatizo nini kwani sababu walizotoa hasa ya umri haijajitosheleza.
We umetoka?
Walioitwa mara ya kwanza hawajalipwa mpk leo
ndio, halafu kuna mtu nilisoma naye wametoa jina mara mbili, tamisemi hawako makini.
Majina yalikuwepo ila wengi pia wameachwa kwa kigezo cha umri na kukosa vigezo. Kuripoti tar 25 hadi 30 mwezi huu wa sita na nje ya hapo hupokelewi. Ingawa kuna jamaa zangu wengi wameachwa na mimi pia nikiwepo pamoja na kuwa na sifa zote.
Majina yalikuwepo ila wengi pia wameachwa kwa kigezo cha umri na kukosa vigezo. Kuripoti tar 25 hadi 30 mwezi huu wa sita na nje ya hapo hupokelewi. Ingawa kuna jamaa zangu wengi wameachwa na mimi pia nikiwepo pamoja na kuwa na sifa zote.
Kwani serikali kuajiri kwao mwishi ni miaka?
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Kwasasa wameleta mchakato mpya wa kuwapata aina nyingine ya waalimu, mwisho wa maombi ni 10/7/ hivyo uenda wakimaliza hili zoezi ndipo watatoa majibu ya jumla.