visit website ya wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi
usikonde nimeshawawekea hiyo site..
kama ulisoma ngazi ya diploma ingia kwenye attachment hapo chini..
kweli bongo life ni tight.ajira za kwenda kufundisha shuke za msingi watu wanazishangilia hivi. nawatakia kial la kheri wale wote waliopata
kweli bongo life ni tight.ajira za kwenda kufundisha shuke za msingi watu wanazishangilia hivi. nawatakia kial la kheri wale wote waliopata
Maliza chuo mwanangu halafu uje kitaa uone shughuli yake wala usipate shida sana
Ndugu zangu simu yangu ndogo! Nimeshindwa kucheki! Kwa aliesoma hat heading ya watu wa degree inasemaje hiyo title? Ili njue naenda lini! Wapi!
Sasa hizo dharau..ulitaka wakaibe?
Cmu yangu inatumia operamini 4.4, imeshindwa, ila nataka kufahamu wanasemaje?
check inbox yako kaka
mimi ni mwalimu by professional kwa hiyo usipate shida
mimi ni mwalimu by professional kwa hiyo usipate shida
kweli bongo life ni tight.ajira za kwenda kufundisha shuke za msingi watu wanazishangilia hivi. nawatakia kial la kheri wale wote waliopata