habari za saa hizi wana javi. naomba maelekezo yenu kwa wale wenye uzoefu humu. Nimemaliza chuo 2012 na nikapangwa kazini 2013 wilaya ya Rungwe. sikuweza kuripoti kwa sababu ya matatizo. mwaka jana nikatuma barua Tamisemi lakini sikupata ajira ya mwaka huu. Je , nilikosea kutuma Tamisemi au nilitakiwa nitume wapi. na mpaka sasa nataka kufanya maombi tena lakini sijui process. Pia ninaweza kurudi kituo changu cha kwanza cha kazi??? Asanteni sana wadau.:cheer2::cheer2::cheer2: