Ajira mpya za walimu

Ajira mpya za walimu

siku hiz mtoto mdogo tu adanganyiki- ndosembuse kutudanganya watu wazima...

hawa masisiem nchi imewashnda jaman afu saiz ndo wanataka watubane tushndwe pakulalamikia et mswaada wa Makosa ya mtandao.

walimu karibun pale juu tupige kura za kutosha.
 
Back
Top Bottom