washenzi kabisa mshahara sio chini ya laki mbili na nusu.........hiyo laki mbili na.nusu unaona kubwa sana? asante serikali kwa kutupeleka jkt kwa ajili.ya.kupiga makofi wajinga wajinga kama.hawa!
achana nao kaka si unajua mwenye shibe hamjui mwenye njaaa?? Wana sahau wapo wamao lipwa chini ya laki mbili kwa mwezi na bado wanaendesha maisha,cheti na mshahara ni vitu viwili tofauti ingawa watanzania wengi wanahusianisha cheti na mshahara wakati cheti ni karatasi tu unalikalia nyumbani na wewe unateseka na maaisha kwa kiburi cha cheti ulicho nacho.
KAZI NI KAZI mradi mkono uende kinywani.. Unaweza kuwa mfanya biashara na kwa mwezi faida tuuu baada ya makato yooote yaani umeme,frem,mlizi n.k(net profit)ya biashara yako isifike hiyo laki mbili lakini ukajikuta nawewe unanyanyu kinywa kudharau hiyo pesa. Kwa mimi mtoto wa maskini kwa kuanzia itanitosha hasa ukizingatia wapo wanao lipwa chini ya hiyo na wanaishi.
vijana tupunguze starehe zisizo na ulazima tutaona budget zinapangika hata kwa mshahara wa 200,000\ lakini kwa starehe full time kwakweli ni ngumu,
NI HAYO TU YANGU.