Ajira na field za Horticulture, St. Joseph

Mr. Mangi

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2014
Posts
1,514
Reaction score
768
Ndugu wana Jf, naomben msaada kwa yeyote mwenye uelewa juu ya coz ya hortculture. Maana mi mechaguliwa kujiunga nayo ila mzee wangu hataki akidai kwamba kupata field ni vigumu, haina ajira pia ktk kujiajiri ni ngumu hasa kwa tz. Hivyo naomba msaada wa mawazo yako ili niweze kuafikiana naye ama kumshawishi niende kujiunga. Asante
 
Tegemea kuwa Bank Teller CRDB. Vilele unaweza lima mboga za majani.
 
kumbe humu wengine wanautindio wa ubongo, lol!! get well soon

umeombwa msaada wa mawazo hivyo kama unauelewa tofaut toa msaada wa mawazo ila kauli kama hizi sio vizur
 
Dah hata mi naenda kuxoma hyo Cozi hapo sua bt nliuliza kuna jamaa anaitwa jerhy alinijibu vzur lakn mpaka xahv naitafuta hyo post nlyoiweka siioni...xa cjui ntafteje
 
kiukweli Field za Horticulture zipo nyingi sana kwan kuna makampuni sasa yanayojishughulisha na horticultural crops katika mikoa kama Dsm, Iringa, Dodoma, Mbeya, vituo vya magereza, Arusha, Morogoro, Mwanza ht Kigoma nahic mwaka huu tawi litafunguliwa. Hvyo usiogope we kasome tena hongera sana kuchaguliwa kozi hiyo
 

asante mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…