kacnia
JF-Expert Member
- Sep 16, 2014
- 4,024
- 15,796
Naandika haya nikiwa na uchungu mkubwa, sina hata muda wa salamu maana tutachoshana tu.
Nilikua nikisikia maafisa wa serikali wanashauri vijana tujiajiri, nilidhani ni wanafiki, kumbe wanapitia magumu sana na hawatamani wengine yatukute, ila sasa walishakua walemavu wa fikra hawana kimbilio zaidi ya kutegemea pesa za mwisho wa mwezi na posho pamoja na janja janja wanajikuta hawana namna zaidi ya kuvumilia fedheha, dharau manyanyaso na mateso kwa boss wao, (kuhusu bata ni juu yao, wote tunakula bata kwa namna yetu)
Imagine mtanzania mwenzetu anapitia vipindi kama hivi
Hapo haujazungumzia spana anazo kutana nazo huko x na mitandao mingine ya kijamii.
Ninachoweza kumshauri mh: AJIAJIRI.
binafsi nilipogundua kumbe ukiwa umeajiriwa siku ukipishana tuu na kimada wa bosi unapoteza umuhimu wako kama mfanyakazi na hatimaye kutafutiwa sababu ya kufukuzwa licha ya juhudi unazoweka kikazi. Nilihamia kwenye biashara ya matunda.
Mh: ikitokea umetenguliwa ili uhamishwe wizara au upande cheo, usinisahau, maana kujiajiri nako ni mtiti kama hauna mtaji.
Semaji la ma jobless!
Pia soma: Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Nilikua nikisikia maafisa wa serikali wanashauri vijana tujiajiri, nilidhani ni wanafiki, kumbe wanapitia magumu sana na hawatamani wengine yatukute, ila sasa walishakua walemavu wa fikra hawana kimbilio zaidi ya kutegemea pesa za mwisho wa mwezi na posho pamoja na janja janja wanajikuta hawana namna zaidi ya kuvumilia fedheha, dharau manyanyaso na mateso kwa boss wao, (kuhusu bata ni juu yao, wote tunakula bata kwa namna yetu)
Imagine mtanzania mwenzetu anapitia vipindi kama hivi
Hapo haujazungumzia spana anazo kutana nazo huko x na mitandao mingine ya kijamii.
Ninachoweza kumshauri mh: AJIAJIRI.
binafsi nilipogundua kumbe ukiwa umeajiriwa siku ukipishana tuu na kimada wa bosi unapoteza umuhimu wako kama mfanyakazi na hatimaye kutafutiwa sababu ya kufukuzwa licha ya juhudi unazoweka kikazi. Nilihamia kwenye biashara ya matunda.
Mh: ikitokea umetenguliwa ili uhamishwe wizara au upande cheo, usinisahau, maana kujiajiri nako ni mtiti kama hauna mtaji.
Semaji la ma jobless!
Pia soma: Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari