Ajira ni ukoloni mambo leo

Ajira ni ukoloni mambo leo

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
12,706
Reaction score
52,355
Ajira uwapa watu pesa ya kula

Kujenga mtu mpaka akope

Ajira iko well calculated ili kuua akili ya waajiriwa wasiwaze nje ya box

Ukitaka kujua ajira utapeli mtu anayelipwa 1.2 million per month pesa anayopeleka nyumbani ni laki 7 baada ya makato yote huu ni ukoloni mambo leo .

Ajira haikupi Uhuru wa kipato ajira.

Mo aliacha ajira newyork Marekani sasahivi ni bilionea.

Ajira nzuri Tanzania usipokuwa mkurugenzi wa shirika kubwa, waziri au mbunge.

Hauwezi kuwa na financial freedom labda uwe jambazi!!!
 
Back
Top Bottom