samahani naomba mnisaidie kunijibu swali langu.ivi kupata kaz pccb unatakiwa uwe umesoma corse gani chuo na ni masomo gani ya elimu ya A-leval uwe umesoma na mshahara wao ni kiasi gani na kama wewe ni mwalimu unataka ubadilishe fani masters unatakiwa usome corse gani tafadhari naomba majibu wana.ila tadhari matusi na kashfa havitakiwi