boy_sunday
Member
- Jul 9, 2016
- 22
- 2
Mkuu unaweza kuwa nayo na ikagoma kama kuna aliejaribu wa human resource aje atupe mrejesho!Bila shaka wewe ni mgeni wa ajira portal, wakiandika qualifications wanataka na wewe uwe nayo kama wao walivoandika na sio vinginevyo.
eSoma vzr huyu dogo kaeleza vzr sana
Hao mareferee tunawapataje mkuu?Kama huna refereee serikalini hupati kitu
Mkuu umeelewa lakini comment yangu
katibu@ajira.go.tz.. watumie ujumbe kuwaeleza shida zako.., ikiwezekana uwatukane kabxaa.. maana wanachokifanya kula mshahara tu.Jamani hawa ajira portal ni wakatili sana, nashindwa kuwaelewa kwanini wanakuwa na ubaguzi kiasi hiki..
Soma kwa makini izo qualifications na hapo kuna kitu wameandika from any equivalent qualifications lakini wananikataa mimi wa Community Development.. kweli jamani Sociology, Law, Public Administration sio Equivalent na Community Development!!
Hawa ajira portal wanajua kukatisha tamaa watu kuhusu ndoto za kuajiriwa, Mh. Rais Samia naomba sikia kilio hiki Waziri Jenista Mhagama sikia kilio hiki mama [emoji22][emoji24][emoji24]
nimeumia sana kama kijana mwenye ndoto za kuajiriwa na serikali yangu pendwa. Yatapita tu [emoji1241] Nakupenda Tanzania.
View attachment 2249732
Mimi mbn imekubaliMkuu unaweza kuwa nayo na ikagoma kama kuna aliejaribu wa human resource aje atupe mrejesho!
Kwani Msg huwa wanajibu?katibu@ajira.go.tz.. watumie ujumbe kuwaeleza shida zako.., ikiwezekana uwatukane kabxaa.. maana wanachokifanya kula mshahara tu.
Hapo lazima ujumbe uwafikie
Ngoja nijaribu tenaMimi mbn imekubali
Sawa mkuuNgoja nijaribu tena
Mrejesho, hali ni ile ile labda j3 nijaribu kuwapigia pia sio me peke angu kuna wengine hata ile za adem tutor assistant hr inagoma ani iliokubali ni mdas & ngosSawa mkuu
Mimi nimejaribu apply nafasi ya Research Assistant na course nilosoma ni mojawapo ya walizo mention lakini bado naambiwa Application Failed.waomba ajira baada ya kupata vyeti akili zilikomea hapo ndio tatizo...
walishindwa kwenda mbali na kuangalia kiundani zaidi kuhusu alicho somea na mfumo wa ajira za serikali zilivyo...
ajira portal wao wana ajiri kwa kufata taratibu kwa kila kada, na miongozo ipo...
ninacho weza kusema tafuteni miongozo...
leo mwenye taaluma ya sheria ana uwanja mpana wa kuwa afisa ktk kada kibao, mf. ardhi, Hr, na hiyo uliyo iweka wewe., na zingine kibao achilia mbali ktk taaluma yake ya sheria... sasa ukija kusema labda mtu wa PA naye aje kuwa afisa ardhi ni haiwezekani yani muundo wa kuajiri ktk ajira usika una goma...
pateni kujielimisha na sio kupiga kelele
unaweza kuandika kwa mkono lakini hakikisha imesainiwa.Oya wadau, halafu hizi barua tunazo upload ajira portal ni lazima tuzitype au tunaweza kuandika hata kwa mkono tu ?
sitaki kusema chochote...Mimi nimejaribu apply nafasi ya Research Assistant na course nilosoma ni mojawapo ya walizo mention lakini bado naambiwa Application Failed.
Halafu unataka kusema nini?
We pimbi tu Kama pimbi wengine.. wale ni wapuuzi. hamna wanachokifanya pale. Kuna kozi zingine ambazo NACTE wanazitambua lakini wao kwenye list hawajaweka. Kwa mfano Kuna vyuo vinatoa Higher Diploma na mtu anapewa cheti kabisa ili wao hawalijui na hawataki kilijua. Bado wanang'ang'ania kwenye Advanced Diploma ambayo kiuhalisia ishafutwa tokea 2010. Hii inaonesha jinsi gani Hawa jamaa wanafanya kazi ambayo hawailewi na hawataki kuijua. Afu pia hawashirikian na hawataki kushirikiana na Taasisi zingine za kielimu Kama vile NACTE na TCU. Hili jipu kabxa na matumizi mabaya ya Mali za ummawaomba ajira baada ya kupata vyeti akili zilikomea hapo ndio tatizo...
walishindwa kwenda mbali na kuangalia kiundani zaidi kuhusu alicho somea na mfumo wa ajira za serikali zilivyo...
ajira portal wao wana ajiri kwa kufata taratibu kwa kila kada, na miongozo ipo...
ninacho weza kusema tafuteni miongozo...
leo mwenye taaluma ya sheria ana uwanja mpana wa kuwa afisa ktk kada kibao, mf. ardhi, Hr, na hiyo uliyo iweka wewe., na zingine kibao achilia mbali ktk taaluma yake ya sheria... sasa ukija kusema labda mtu wa PA naye aje kuwa afisa ardhi ni haiwezekani yani muundo wa kuajiri ktk ajira usika una goma...
pateni kujielimisha na sio kupiga kelele
nenda uka update academic Qualifications itakubali, jaribu kufanya kama una edit afu unasave. au Kama ishindikana add tena academic Qualifications hii iliyoiweka...Mimi nimejaribu apply nafasi ya Research Assistant na course nilosoma ni mojawapo ya walizo mention lakini bado naambiwa Application Failed.
Halafu unataka kusema nini?
Wanajibu ndio kwenye email lakiniKuwatukana hapana.
Kwani Msg huwa wanajibu?