Sawa mkuu ngoja nijaribu maana nilikua nikitumia simu,Tumia pc kama cm inazingua
Urefu na upana wa io picha inabid uwe 300*300 kama ikiendelea kukataa labda ina ukubwa tofauti na unaohitajika kuweka picha kwenye portalWakuu naombenisaada kila ninapo jaribu ku update picha naona Ina load tu lakini haibadiliki. Picha iliyopo saizi niliiweka wakati nipo certificate Sasa haikua ya passport size ilikua ni picha ya kawaida tu ya photo shoot. Kwa anaejua namna ya ku update picha nyingine naomba anisaidie maana kila nikijaribu inagoma msaada wakuu tafadhari
Habari zenu ndg,
Naomba kufahamishwa namna au wapi nitaweka leseni na cheri cha veta(driving course) kwenye ajira portal maana kuna prof na academy. Vyote ni professional au academic ?
Asante I
Sawa kwa maana hiyo kwa waombaji wa driving hawana cha kujaza kwenye professionalism?Training & workshops
Sawa kwa maana hiyo kwa waombaji wa driving hawana cha kujaza kwenye professionalism?
Kipo cha vetaProffesional qualifications mfano CPA,nknk kama una mafunzo ya NIT kuhusu udereva unaweza weka kuna mafunzo wanatoaga NIT nahis hivo
Kipo cha veta
Habari zenu ndg,
Naomba kufahamishwa namna au wapi nitaweka leseni na cheri cha veta(driving course) kwenye ajira portal maana kuna prof na academy. Vyote ni professional au academic ?
Asante I
Thank you sana ndgKwenye Professional Qualifications weka Driving Licence.
Kwenye Academic Qualifications weka hiyo Basic Driving Certificate. Period.
Thank you sana ndg
nimeweka na imekaa sasa sijajua usahihi wake na profile completeness yake ni 100%Umefanikiwa...?
Kabla ya kuweka ilikuwa asilimia ngapi...?nimeweka na imekaa sasa sijajua usahihi wake na profile completeness yake ni 100%
Hapa nazan sio mfumo chuo husika ndio kinahusika ,utakuta wanapendelea waliosoma chuo chake tu cha IRDP Kwa kozi hizo maana najua chuo husika kitaenda kuwaambia wapi tunawataka ...hyo ilitokea pia kwa watu waliosoma chuo cha Ardhi fani za mipango miji nasikia wamekatwa wote walioomba IRDP wameita waliosoma hapo kwao tu ndio wanawataka basi sio wa chuo kingineKama umewahi kufanya application ya maombi ya kazi kupitia mfumo wa ajira portal utakubaliana na mimi huu ni mfumo wa kijinga sana kuwahi kutokea
Just imagine wametangaza nafasi za kazi za Tutoria Assistant(Accounting and Finance). Wanataka mtu aliesomea ACCOUNTING AND FINANCE or BUSINESS ADMINISTRATION IN ACCOUNTING AND FINANCE, kama inavyoonesha hapa chini;
View attachment 2385704
Sasa mtu amesomea chuo Bachelor of business administration in accounting na mfumo unakukubali kuomba kazi unaomba, mwisho wa siku wanakuja kusema hauna qualification na wakati G.P.A iko sawa kisa tu iyo finance😭😭
View attachment 2385710
Halafu unawapigia simu wanasema mtu unakua umeucheat mfumo wakati vyeti na kila kitu umewawekea, how can this be possible..huu mfumo wa portal ni wa kipumbavu...otherwise hizi changamoto zinakatisha ndoto za watu wengi na ukizingatia majina yenyewe wanachelewa kuita watu.
Dah so sad aiseeHapa nazan sio mfumo chuo husika ndio kinahusika ,utakuta wanapendelea waliosoma chuo chake tu cha IRDP Kwa kozi hizo maana najua chuo husika kitaenda kuwaambia wapi tunawataka ...hyo ilitokea pia kwa watu waliosoma chuo cha Ardhi fani za mipango miji nasikia wamekatwa wote walioomba IRDP wameita waliosoma hapo kwao tu ndio wanawataka basi sio wa chuo kingine
Ndio UKWELI huo [emoji3]Dah so sad aisee