KERO Ajira Portal wapo kweli ofisini? Dawati la msaada ambalo halisaidii kitu

KERO Ajira Portal wapo kweli ofisini? Dawati la msaada ambalo halisaidii kitu

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

BlackHermito

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2020
Posts
748
Reaction score
1,131
Habari wana JF, kumekuwa na malalamiko ya watu wengi sana kuhusu system ya ajira portal na hata pale unapokuwa na changamoto fulani na kuhitaji msaada kutoka kwao kupitia "help desk" numbers imekuwa changamoto kuwapata.

Utapiga simu muda wote zinatumika, labda wanakuwa very busy kuwahudumia watanzania wengine lakini hata pale unapopata nafasi ya kuwapata wakiwa "hawapo busy" basi simu huita tu bila majibu.

As an academician I once applied for a certain position at the University of Dodoma, the deadline of the job application as per the pdf ilikuwa 5th July 2022, other friends of mine wameapply Saturday wengine jana...but to our suprise tukiingia kucheki "application status" inaonesha there is no application.

Bad enough hata hizo vacancy za UDOM hazionekani kabisa kwenye system angalau zingine huwa zinaoneshwa kuwa zipo "closed". Tumejaribu kuwatafuta hao help desk maybe watupe mrejesho wowote ila ndio tumeshindwa kuwapata.

Shida yetu kubwa sio hiyo kazi bali "response" ya chombo husika ni muhimu sana. Haya malalamiko kila siku kuhusu wao basi Serikali iyaone na kuyafanyia kazi kwani wapo vijana wengi mtaani ambao wanaweza kufanya kazi kwenye hilo "dawati" kwa ufanisi mkubwa kuliko hao "waliozoea " hiyo nafasi na hawafanyi lolote.
Asante.
Kwanza kabisa naipongeza Serikali ya Jamhuri ya muungano Tanzania kuamua ajira zote ziombwe kupitia mfumo mmoja wa kidigital wa AjiraPortal.

Changamoto kubwa kwa baadhi ya waombaji ajira kupitia mfumo huu ni namna ya kuutumia mfumo huo, hali hii inapelekea waombaji kuhitaji msaada zaidi kwa watoa huduma kwa wateja.

Kero inakuja pale umepata changamoto na unahitaji msaada kwao, unawatafuta na kuwaelekeza shida zako lakini wanakuwa SIO MSAADA na Muda mwingine hawajibu emails kabisa.

Nafasi za ajira zinatolewa ambazo tunasifa nazo kabisa lakini tunashindwa kuziomba hadi deadline inafika tunazikosa. Hatuna pakusaidiwa kwani Huduma kwa Wateja sio MSAADA.

Naomba Serikali isikie kilio chetu, maana tumechoka kukaa mtaani. Waweke namna nzuri kwa sisi tunaopitia changamoto tuweze kusaidiwa.

INAUMA SANA NAFASI INATOLEWA NA UNASIFA YA KUIOMBA LAKINI UNAISHIA KUIANGALIA TU KWASABABU HAUWEZI KUFANYA CHOCHOTE.
 
Ni kweli kuna kazi za tutor mzumbe course ya human resource management mtu umesoma hiyo course G.P.A iko ya kutosha ukiomba zinagoma ukiwatumia ujumbe no reply hawa watu ni majipu.
 
Habari wana jf ,kumekuwa na malalamiko ya watu wengi sana kuhusu system ya ajira portal na hata pale unapokuwa na changamoto fulani na kuhitaji msaada kutoka kwao kupitia "help desk" numbers imekuwa changamoto kuwapata. Utapiga simu muda wote zinatumika, labda wanakuwa very busy kuwahudumia watanzania wengine lakini hata pale unapopata nafasi ya kuwapata wakiwa "hawapo busy" basi simu huita tu bila majibu.
As an academician I once applied for a certain position at the University of Dodoma, the deadline of the job application as per the pdf ilikuw 5th july, other friends of mine wameapply saturday wengine jana...but to our suprise tukiingia kucheki "application status" inaonesha there is no application. Bad enough hata hizo vacancy za UDOM hazionekan kabisa kwenye system angalau zingine huwa zinaoneshwa kuwa zipo "closed". Tumejaribu kuwatafuta hao help desk maybe watupe mrejesho wowote ila ndio tumeshindwa kuwapata.

Shida yetu kubwa sio hiyo kazi bali "response" ya chombo husika ni muhimu sana. Haya malalamiko kila siku kuhusu wao basi serikali iyaone na kuyafanyia kazi kwani wapo vijana wengi mtaani ambao wanaweza kufanya kazi kwenye hilo "dawati" kwa ufanisi mkubwa kuliko hao "waliozoea " hiyo nafasi na hawafanyi lolote.
Asante.
Wameandika bosi kwenye tovuti yao kuwa hizo nafasi za udom zimesitishwa hadi itakapotangazwa tena
 
Kazi za udom zimesimamishwa na ndio maana huzioni kwenye system tena. Mbona walisema? Soma vizuri matangazo yao utaona Hilo tangazo la kusitishwa hizo ajira.
Asante, sikufatilia hili. Ila hiyo help desk ni bora iwe active rather than being such irresponsible
 
Mbona mimi nlicontact nao via email na wakarespond wakanielekeza Cha kufanya via email na now Sina tatizo. Or maybe kwakuwa tatizo langu lilikuwa linasolvika kirahisi labda.
 
Mbona mimi nlicontact nao via email na wakarespond wakanielekeza Cha kufanya via email na now Sina tatizo. Or maybe kwakuwa tatizo langu lilikuwa linasolvika kirahisi labda.
Tatizo lako lilikua ni lipi mkuu ?
 
Mbona mimi nlicontact nao via email na wakarespond wakanielekeza Cha kufanya via email na now Sina tatizo. Or maybe kwakuwa tatizo langu lilikuwa linasolvika kirahisi labda.
Tuelekeze hilo tatizo usikute na Mimi ninalo kama hilo
 
Pia kama unatatizo upo Dom au una Ata jamaa Yako Dom..... Ni vizury ukamuagiza aende kule ofisin.... Pia ukiwa kule Huwa wanatatua matatizo yote... iyo pia n njia rais yakusaidiwa atakama uko mbali unaeza agiza mtu....koz wenyew kule wanaitaj information zako ili walog in nakutatua changamoto yako
 
Pia kama unatatizo upo Dom au una Ata jamaa Yako Dom..... Ni vizury ukamuagiza aende kule ofisin.... Pia ukiwa kule Huwa wanatatua matatizo yote... iyo pia n njia rais yakusaidiwa atakama uko mbali unaeza agiza mtu....koz wenyew kule wanaitaj information zako ili walog in nakutatua changamoto yako
Sasa hizo number zao waliweka za nini kama lengo lao ni kufuatwa ofisini kwao?
 
Tuelekeze hilo tatizo usikute na Mimi ninalo kama hilo
Kwenye namba yangu ya NIDA walikosea mwaka, hivyo bas hii ikanifanya kushindwa kuapply kazi yoyote inayopitia TAMISEMI kwakuwa nilikuwa naonekana Nina umri uliozidi umri wanaoutaka wao.Nikaenda NIDA nikarekebisha Lakini namba yangu ikawa IPO vile vile means ukiiangalia namba yangu ya NIDA kwenye zile tarakimu za mwanzo huwezi juwa mwaka wangu halisi maana Bado haipo sawa but walichokifanya ni kubadili record za ndani na sio Ile namba ya NIDA, mara baada ya kurekebisha mwaka nikahisi labda na AJIRA PORTAL nako wataupdate wenyewe automatically but haikuwa hivyo so nkacontact nao via ajira portal pale walipoandika "feedback" na kweli wakanielekeza kwa kurespond kwenye email yangu kuwa niende kwenye account yangu pale kwenye kuupdate infor(niliuliza coz mwanzo nlikuwa nikiupdate inakataa) nikawa najibu Yale maswali ingawa mengi nlikuwa nakosa though nlikuwa najibu correctly but I kept answering them hivyo hivyo mpaka taarifa zangu zikakaa sawa.
 
Je na ambao tuna activate account zetu za ajira portal zinagoma,hilo nalo lipo vipi?
 
Poleni sana, system za serikali karibia zote zipo corrupted...
 
Back
Top Bottom