Nahisi hawapo ofisini maana simu zao zinaita tuNAOMBA MSAADA KWA ANAYEJUA NAMNA YA KUWAPATA. Nahitaji sana huduma yao.
Nimefungua Akaunti ya Ajira Portal, na nimetumiwa email na link ya ku-activate account yangu lakini kila niki-click ile link kwenye email yangu, link haifunguki. Nimeawaandikia email lakini hawajajibu. Nimewapigia simu hawapokei.
Naombeni msaada tafadhali.
Kama upo Dodoma nenda ofisini kwao watakusaidia.NAOMBA MSAADA KWA ANAYEJUA NAMNA YA KUWAPATA. Nahitaji sana huduma yao.
Nimefungua Akaunti ya Ajira Portal, na nimetumiwa email na link ya ku-activate account yangu lakini kila niki-click ile link kwenye email yangu, link haifunguki. Nimeawaandikia email lakini hawajajibu. Nimewapigia simu hawapokei.
Naombeni msaada tafadhali.
Aise Ni kwel hawa jamàa awajibu chochoteHabari wana jf ,kumekuwa na malalamiko ya watu wengi sana kuhusu system ya ajira portal na hata pale unapokuwa na changamoto fulani na kuhitaji msaada kutoka kwao kupitia "help desk" numbers imekuwa changamoto kuwapata. Utapiga simu muda wote zinatumika, labda wanakuwa very busy kuwahudumia watanzania wengine lakini hata pale unapopata nafasi ya kuwapata wakiwa "hawapo busy" basi simu huita tu bila majibu.
As an academician I once applied for a certain position at the University of Dodoma, the deadline of the job application as per the pdf ilikuw 5th july, other friends of mine wameapply saturday wengine jana...but to our suprise tukiingia kucheki "application status" inaonesha there is no application. Bad enough hata hizo vacancy za UDOM hazionekan kabisa kwenye system angalau zingine huwa zinaoneshwa kuwa zipo "closed". Tumejaribu kuwatafuta hao help desk maybe watupe mrejesho wowote ila ndio tumeshindwa kuwapata.
Shida yetu kubwa sio hiyo kazi bali "response" ya chombo husika ni muhimu sana. Haya malalamiko kila siku kuhusu wao basi serikali iyaone na kuyafanyia kazi kwani wapo vijana wengi mtaani ambao wanaweza kufanya kazi kwenye hilo "dawati" kwa ufanisi mkubwa kuliko hao "waliozoea " hiyo nafasi na hawafanyi lolote.
Asante.
kwanza unatakiwa ujue size ya picha ni 300 urefu na upana ni 300 isizidi ivyo ingia online tafuta resize image weka iyo size 300*300 au 200*200 ukishabadili size nenda kaiweke
Awatumie email na asiache kupiga simu watamsaidiaMsaada Kwa mdogo wangu amesahau username na password kwenye ajira portal system kwa anaeweza nisaidia kutatua hili
Tumejaribu kuwapigia simu hawapokei na deadline ya nafasi za KAZI imekaribia
Na vipi inawezekana kuifuta account na kufungua mpya?
Bado mkuuBro umepata msaada?