Ajira ualimu awamu ya pili kutolewa tarehe 20

Ajira ualimu awamu ya pili kutolewa tarehe 20

chichimizi

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2015
Posts
1,074
Reaction score
339
Baadhi ya maneno yaliyonukuliwa na baadhi ya walimu ambao hawakuona majina yao kwenye orodha ya majina ya ajira awamu ya kwanza, majina yao yatatoka kuanziaa wiki la pili la mwezi wa tano,, mkurugenzi mkuu TAMISEMI alisema hayo mjini Dodoma tarehe 04/05/2015.

Kama ni muhusika tulia subiri ajira yako kwani mkurugenzi huyo alisisitiza hivyo.

Picha hizo hapo chini kudhibitisha tarifa hizi.
 

Attachments

  • 1431554135626.jpg
    1431554135626.jpg
    46.7 KB · Views: 3,795
Picha ya umati mkubwa wa walimu
 

Attachments

  • 1431554265024.jpg
    1431554265024.jpg
    39.6 KB · Views: 4,922
Mungu awasaidie wote ambao hawajapata binafsi namshukuru Mungu nimeshamaliza kuripoti na kila kitu kimeenda vema hakika inachosha sna kungojea ajira.
 
mtuombee na sisi wa uku singida wilaya ya iramba tupate posho zetu maana adi leo atujapata na akuna tamko lolote.
 
nimeona tangazo kwenye website ya tamisemi leo inaonesha wapo mbioni kutoa majina mengine mara ya pili na wakiwataka wale ambao wameshindwa kureport kwa wakati walipoti kwa muda unaotakiwa katika selection inqyofuata
 
nimeona tangazo kwenye website ya tamisemi leo inaonesha wapo mbioni kutoa majina mengine mara ya pili na wakiwataka wale ambao wameshindwa kureport kwa wakati walipoti kwa muda unaotakiwa katika selection inqyofuata

website gn hiyo mkuu maana naingia lakini sion hilo tangazo au wsneshalitoa?
 
website gn hiyo mkuu maana naingia lakini sion hilo tangazo au wsneshalitoa?

ingia tamisemi sehem ya ajira mpya za walimu ukiingia hapo utakutana na hilo tangazo lipo top
 
Jamani mimi nimemaliza 2012, lakini nilipoomba mwaka huu sikuona jina langu. inakuwaje wadau?
 
Jamani mimi nimemaliza 2012, lakini nilipoomba mwaka huu sikuona jina langu. inakuwaje wadau?
wenzako walivoenda tamisemi na ww ulienda ili ujue kwa nn jina lako halikuonekana?
 
Jamani mimi nimemaliza 2012, lakini nilipoomba mwaka huu sikuona jina langu. inakuwaje wadau?

Kwa mijibu wa mkurugenzi alishatoa majibu ya kina sana kuhusu hilo swala coz ni wengi hauko peke yako.

Kama ulimaliza 2012 it means ulishaajiriwa na kama uliajiriwa means hukwenda kuripoti ulipopangiwa dats y hawajakupangia.
 
Kwa mijibu wa mkurugenzi alishatoa majibu ya kina sana kuhusu hilo swala coz ni wengi hauko peke yako.

Kama ulimaliza 2012 it means ulishaajiriwa na kama uliajiriwa means hukwenda kuripoti ulipopangiwa dats y hawajakupangia.


Pole Sana mwalimu Wa geography kwa kukosa ajira japo uliongoza Sana kuishobokea hapa kiasi cha kututukana wengine ukasahau methali ya "ukitaka kuruka agana na nyonga"
 
Pole Sana mwalimu Wa geography kwa kukosa ajira japo uliongoza Sana kuishobokea hapa kiasi cha kututukana wengine ukasahau methali ya "ukitaka kuruka agana na nyonga"

Wewe jamaa mm ajira hewani since zimetoka. Pesa ya kujikimu na kota nimepata niko full. Kuandika huu uzi hainamaana mm sijapata then kama umeusoma vzr angaliaaa hiyo aya ya mwisho
 
Wewe jamaa mm ajira hewani since zimetoka. Pesa ya kujikimu na kota nimepata niko full. Kuandika huu uzi hainamaana mm sijapata then kama umeusoma vzr angaliaaa hiyo aya ya mwisho

Umekosa awamu ya kwanza unasubiri ya pili usivunge kijana teh teh
 
Wakubwa habarin.....mimi nimehitimu chuo kikuu dar es salaam mwaka 2012 kisha nikagekia kwenye kufanya biashara kwa kipindi chote hicho....sasa nimejitathimini nakuona kuwa nahitaji kurudi kundini yaani kuwa mwalimu.....sasa ulizo langu kwenu ni hivi, nitawezaje kurudi kwenye ualimu???...na pia kuna uwezekano wa kurudi na kuhesabika kama mwalimu toka mwaka huo 2012....!!!?????
 
Back
Top Bottom