chichimizi
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 1,074
- 339
Baadhi ya maneno yaliyonukuliwa na baadhi ya walimu ambao hawakuona majina yao kwenye orodha ya majina ya ajira awamu ya kwanza, majina yao yatatoka kuanziaa wiki la pili la mwezi wa tano,, mkurugenzi mkuu TAMISEMI alisema hayo mjini Dodoma tarehe 04/05/2015.
Kama ni muhusika tulia subiri ajira yako kwani mkurugenzi huyo alisisitiza hivyo.
Picha hizo hapo chini kudhibitisha tarifa hizi.
Kama ni muhusika tulia subiri ajira yako kwani mkurugenzi huyo alisisitiza hivyo.
Picha hizo hapo chini kudhibitisha tarifa hizi.