chichimizi
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 1,074
- 339
- Thread starter
-
- #21
Umekosa awamu ya kwanza unasubiri ya pili usivunge kijana teh teh
Hi ndiyo kota niliyobahatika kuipata mimi chichimizi
Kama kuna yeyote mwenye taarifa kuhusu wale waliotaka kubadilishana vituo kisha tamisemi kuwataka waache barua na kwenda kuripoti ni lini wataachia majina.
Majina wanaachia j4
hayo majina wanayoachia j4 ni pamoja na second round ama?Majina wanaachia j4
source ya hyo info?Ndio pamoja na awamu ya pili
source ya hyo info?