Ajira ualimu awamu ya pili kutolewa tarehe 20

Umekosa awamu ya kwanza unasubiri ya pili usivunge kijana teh teh

Hi ndiyo kota niliyobahatika kuipata mimi chichimizi
 

Attachments

  • 1431787626739.jpg
    76.1 KB · Views: 329
Ukereweee? Tamisemi sijawakoseaa kiasi hicho duuuh mpaka ukerewee?
 
Kama kuna yeyote mwenye taarifa kuhusu wale waliotaka kubadilishana vituo kisha tamisemi kuwataka waache barua na kwenda kuripoti ni lini wataachia majina.
 
Hakuna kuhama kafanye kazi mana mnapenda kukaa mjini
 
Kama kuna yeyote mwenye taarifa kuhusu wale waliotaka kubadilishana vituo kisha tamisemi kuwataka waache barua na kwenda kuripoti ni lini wataachia majina.

Majina wanaachia j4
 
Chichimizi niliona star tv katibu mkuu akitangaza j2 iliopita
 
A kasema waliosapua majina hayakupelekwa Tamisemi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…