Ajira utumishi wa umma kada ya ualimu PDF iachie walimu waliofuzu wote

Ajira utumishi wa umma kada ya ualimu PDF iachie walimu waliofuzu wote

Impactinglife

Member
Joined
Apr 15, 2019
Posts
41
Reaction score
99
Utumishi (PSRS) wamemaliza usaili KADA ya UALIMU Jana jumatatu Tarehe 24. Ni vyema wakaachia majina ya waliopata AJIRA (PLACEMENT) ya masomo yote Kwa mkupuo kuliko kuwaweka Vijana waendelee Kila mara kushinda mtandaoni kuangalia PDF haya yaliwezekana TAMISEMI Kwanini wao wasifanye hivyo.

Pia Mashule yanawasubiri walimu Kwa hamu waendelee kuchapa kazi maana muda unakimbia na isitoshe hizi ajira ni za Mwaka Jana 2024.
 
Walimu tulizeni kimuhemuhe.

Placement haziachiwi kama maembe yanavyotingishwa juu ya mti.

Kuna tararibu zake na ni lazima zifuatwe.
 
Walimu mna mhemko sana mumekuwa kama nyie ndio wasomi pekee kwenye hili Taifa
 
Kwahy unashinda kuangalia pdf mpaka unashindwa kufanya ishu zingine, kama ulifeli oral je?
Waalimu bhana 😂
 
Back
Top Bottom