Ajira ya fundi sanifu maabara hewa

dingi1

Senior Member
Joined
Nov 18, 2014
Posts
109
Reaction score
24
Serikali jana nimetangaza majina ya walimu msingi na sekondari. Na wataalamu 264 wa maabara za shule cha ajabu sasa majina ya wataalamu wa maabara ayajatoa eti kisa maabara za shule ya kata bado zipo kwenye ujenzi
 
Serikali jana nimetangaza majina ya walimu kazi ya msingi na sekondari. Na wataalamu 264 wa maabara za shule cha ajabu sasa majina ya wataalamu wa maabara ayajatoa eti kisa maabara za shule ya kata bado zipo kwenye ujenzi

Ndo kiswahili gani umeandika?
Kama hata kuandika huwezi kaa kimya au kama umezamia nchini rudi kwenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…