BRUNOPACINO
New Member
- May 30, 2023
- 3
- 1
IT sijui anaichukuliaje asee...Hivi mnaichukuliaje IT nyie aseeeKuweka game ndo IT support mkuu? Vigezo utafikiri unahitaji system administrator yani[emoji706]
[emoji3][emoji3] tena anakwambia anahitaj ITMkuu mmeshindwa kupata mtu wa huko huko?
Mpaka mje Huku jf
Tena tangazo lake kaweka kibabe Sana Yani eti IT support wakat hio kazi hata mtu wa LA 7 mtundu unamfundisha na anaelewa anafanyakazi[emoji3][emoji3] tena anakwambia anahitaj IT