miss personal cook
Member
- Apr 4, 2019
- 81
- 90
Anatafutwa kijana/dada wa kuuza samaki wabichi aina ya sangara kutoka mwanza. Kila siku atatakiwa kutembeza vipande 25 vya samaki. Malipo ni 4,000 kwa siku ambayo kwa mwezi ni 112,000. Chakula na maradhi anaweza kukaa kwangu.
PM kwa maelezo zaidi
PM kwa maelezo zaidi