miss personal cook
Member
- Apr 4, 2019
- 81
- 90
Wewe unatafuta mtu wakukuibia huo mtaji wako 4000 kwa siku hela ndogo sana kwa jiji la DarAnatafutwa kijana/dada wa kuuza samaki wabichi aina ya sangara kutoka mwanza. Kila siku atatakiwa kutembeza vipande 25 vya samaki. Malipo ni 4,000 kwa siku ambayo kwa mwezi ni 112,000. Chakula na maradhi anaweza kukaa kwangu.
PM kwa maelezo zaidi
Ni maradhi au malaziAnatafutwa kijana/dada wa kuuza samaki wabichi aina ya sangara kutoka mwanza. Kila siku atatakiwa kutembeza vipande 25 vya samaki. Malipo ni 4,000 kwa siku ambayo kwa mwezi ni 112,000. Chakula na maradhi anaweza kukaa kwangu.
PM kwa maelezo zaidi
Ulitaka nimlipe ngapi? Au unafikiri hao samaki naenda kuwaokota mwanza?Upo serious kweli mtu atembeze kutwa mzima and umlipe 4000??
Ulitaka nimlipe ngapi? Au unafikiri hao samaki naenda kuwaokota mwanza?