Ajira ya walimu wa stashahada 2011

Matti

Member
Joined
Jan 24, 2011
Posts
94
Reaction score
5
Habari za siku wadau?
Naomba kuuliza, yale malalamiko ya walimu waliokosa ajira serikalini kwasababu ya kufail (sap) somo moja au mawili yamefikia wapi?
 
Kwa habari zisizo rasmi sana ni kwamba waliambiwa kuwa ajira zinaanza kutoka mwezi wa pili lakini aliye fail atapewa muda kusafisha cheti ila ajira atapata. Na kwa kuthitisha nina mdogo wangu aliyekuwa kwenye mkumbo huo ameitwa kuriport tarehe 1, February wilaya ya kwimba mkoa wa mwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…