Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Black n White,,,asipoteze muda!Kama hujuani na mtu usijisumbue kuomba hizo nafasi
Iko vizuri kuanzia laki nane mpaka millionHao watu wa kujuana nao nitawajuaje.......na je salary yao ipo njema ama ipo down
Dawasco pale ni ba mkubwa kwa ba mdogo kuna watu wa nursing, pharmacy na education wapo pale wanapiga kazi kama water technician bila connection isijisumbueNaomba niulize hawa dawasco vp ajira zao zinapitia utumishi au inakuwaje?
Mkuu hapo imekaaje wakati serikali imesema ajira zote zitokee utumishi wao kama dawasa wana mamlaka gani ya kuajiri wenyewe hali ya kuwa taasisi nyingi za serikali hazifanyi ivyo. Embu nifafanulie mkuuHapana hawa Dawasa bado wanaajiri wenyewe
Dawasa wanajiendesha wenyewe kwa mapato yao na ilikuwa zamani Sasa HV wamebadilisha hata dawasa hawajatangaza bado lazima zipitie utumishiMkuu hapo imekaaje wakati serikali imesema ajira zote zitokee utumishi wao kama dawasa wana mamlaka gani ya kuajiri wenyewe hali ya kuwa taasisi nyingi za serikali hazifanyi ivyo. Embu nifafanulie mkuu