Ajira za JWTZ - Vijana waliopo JKT na waliomaliza mkataba wa JKT

Ajira za JWTZ - Vijana waliopo JKT na waliomaliza mkataba wa JKT

Meneja CoLtd

Senior Member
Joined
Mar 6, 2021
Posts
122
Reaction score
143
Wakuu Leo nimeliona tangazo la nafasi ya kujiunga JESHI LA WANANCHI TANZANIA lakini naombeni ufafanuzi kwenye masharti yake kama UMRI NA CHETI CHA JKT WANAZINGIATIA SANA AU TUFANYE MAOMBI TU POTELEA KARIBU?
---
1722445906846.png

1722446005296.png
 

Attachments

Wakuu Leo nimeliona tangazo la nafasi ya kujiunga JESHI LA WANANCHI TANZANIA lakini naombeni ufafanuzi kwenye masharti yake kama UMRI NA CHETI CHA JKT WANAZINGIATIA SANA AU TUFANYE MAOMBI TU POTELEA KARIBU?
Jilipue tu, usipoomba umechgua kukosa wewe mwenyew mana huchaguliwi. Ukiomba inawez kuwq bahat yako ukapata so unajipa matokeo mawili with any posibility
 
Wakuu Leo nimeliona tangazo la nafasi ya kujiunga JESHI LA WANANCHI TANZANIA lakini naombeni ufafanuzi kwenye masharti yake kama UMRI NA CHETI CHA JKT WANAZINGIATIA SANA AU TUFANYE MAOMBI TU POTELEA KARIBU?
Elimu ya Tanzania ni mbovu sana yaani Mtu kaleta hapa Tangazo mwenyewe na lina kila Maelekezo halafu tena anatuuliza yale yale ambayo yapo katika Tangazo husika la Kazi. Kweli CCM ina haki ya Kuitawala Tanzania kwani inajivunia Majuha wengi ambao ndiyo Mtaji wake.
 
Elimu ya Tanzania ni mbovu sana yaani Mtu kaleta hapa Tangazo mwenyewe na lina kila Maelekezo halafu tena anatuuliza yale yale ambayo yapo katika Tangazo husika la Kazi. Kweli CCM ina haki ya Kuitawala Tanzania kwani inajivunia Majuha wengi ambao ndiyo Mtaji wake.
Sasa hapo mkuu umeumia na lipi,
Mimi kuuliza
Elimu mbovu TZ au
Ccm kuongoza nchi?
 
Wakuu naomba kuuliza, je kwa mtu aliyetuma maombi bila kutumia njia ya ems kuna uwezekano maombi yasifike kwa wakati maana mimi nililipa sh.2000 ya stempu pale posta ya daresalaam tarehe 7. 8.2024 kisha nikatumbukiza bahasha kwenye kile kisanduku cha posta kwahiyo naomba kujuzwa kama nilikosea nikatume upya kwa ems
 
Wakuu naomba kuuliza, je kwa mtu aliyetuma maombi bila kutumia njia ya ems kuna uwezekano maombi yasifike kwa wakati maana mimi nililipa sh.2000 ya stempu pale posta ya daresalaam tarehe 7. 8.2024 kisha nikatumbukiza bahasha kwenye kile kisanduku cha posta kwahiyo naomba kujuzwa kama nilikosea nikatume upya kwa ems
Kuna mdau Wang katuma kwa ems na katozwa 15k, nawewe ulitakiw kufuat maelekez maana maombi ni mengi
 
Wakuu naomba kuuliza, je kwa mtu aliyetuma maombi bila kutumia njia ya ems kuna uwezekano maombi yasifike kwa wakati maana mimi nililipa sh.2000 ya stempu pale posta ya daresalaam tarehe 7. 8.2024 kisha nikatumbukiza bahasha kwenye kile kisanduku cha posta kwahiyo naomba kujuzwa kama nilikosea nikatume upya kwa ems
Fuata amri,ishara na maelekezo mbalimbali.
 
Back
Top Bottom