Ajira za kudumu, chanzo cha ubadhirifu

Ajira za kudumu, chanzo cha ubadhirifu

HIMARS

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2012
Posts
70,791
Reaction score
98,334
Tumesikia kuhusu ubadhirifu kupitia taarifa ya CAG, PCCB

Hasara ya Bilioni 450 zilizolipwa kwa wakandarasi kutokana na kucheleshwa malipo. Hapa ilitakiwa wahusika wote wafilisiwe, wafukuzwe kazi, wafungwe.

ATCL kuwa na hasara ya Bilioni 71 ndani ya miaka 2, hii imetokana na waajiriwa wa ATCL kulipwa mishahara na Serikali, ingekuwa kampuni binafsi lazima ingepunguza wafanyakazi ili kuendana na uhalisia.

Halmashauri nyingi upotevu wa mapato ni mkubwa na yote sababu kila mtu anajua hafukizwi kirahisi

Wanasiasa kuingilia mambo yasiyohitaji siasa.
 
Serikali iangalie swala la ajira, iandae mswada wa kuondoa ajira za maisha, waweke za muda kama kampuni binafsi.

Mbona Marekani ina ajira za Masaa na maisha yanasonga.
 
Ugonjwa unaanzia kwenye uchaguzi, haya ni matokeo tu.
tuendelee kuzisoma namba
 
Kuna makaampuni yana ruhusu utumie brand Yao kufanya kazi zako ila wewe ndio unawalipa na kujilipa. Lala ww ikifika tarehe wanataka chao. No project (Haina faida) mkataba wanakata
 
Back
Top Bottom