Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pyaar ni mwanamke smart sana.. nikipata hela nitakupenda
Hahahaha!Pyaar ni mwanamke smart sana.. nikipata hela nitakupenda
Samahani naomba unitumie vizuri email naona kama kwangu inanigomea
Ndio mkuu kila nikituma kwenye email yangu inaniambia not found hiyo emailUnamaanisha hiyo email iliyowekwa hapo haionekani vizuri kwako?
Mmmh ndo maana nikaomba msaada wako wa kuniandikia hiyo email ili nipige chabo kwakoUmezingatia kila herufi na alama iliyopo?
Tupo bidada tunakimbizana na maisha. Nimehamia Unguja
mKuu ntakucheki siku moja.Tupo bidada tunakimbizana na maisha. Nimehamia Unguja
Utakua utingo wangu, utachukua mshahara wangu na wakoNgoja niombe utingo maana kuendesha siwezi 😅😅😅
Naomba nianze kuchukua mshahara wako kuanzia sasa hivi 😅😅😅Utakua utingo wangu, utachukua mshahara wangu na wako
Hilo limeishaNaomba nianze kuchukua mshahara wako kuanzia sasa hivi 😅😅😅