Ajira za maliasili, jeshi usu TFS JU 04

Ajira za maliasili, jeshi usu TFS JU 04

Level zao za mishahara zikoje mkuu kama ina experience? Kuna dogo qlitokq JKT mwaka jana lkn hakuchaguliwa course anayoitaka. Saiz anataka kuomba hizi ili kama vipi mwaka huu asiende chuo. Unafahamu mishahara yao ikoje?
 
Level zao za mishahara zikoje mkuu kama ina experience? Kuna dogo qlitokq JKT mwaka jana lkn hakuchaguliwa course anayoitaka. Saiz anataka kuomba hizi ili kama vipi mwaka huu asiende chuo. Unafahamu mishahara yao ikoje?
Tfs wana mishahara mizuri sana na malupulupu yakutosha
 
Mapema sana , nimeongeza received mchawi shortlist tuu na Interview sasa
 
Level zao za mishahara zikoje mkuu kama ina experience? Kuna dogo qlitokq JKT mwaka jana lkn hakuchaguliwa course anayoitaka. Saiz anataka kuomba hizi ili kama vipi mwaka huu asiende chuo. Unafahamu mishahara yao ikoje?
Wanalipa mishahara mizuri, kama Ana vigezo ni bora aombe hizi nafasi
 
Back
Top Bottom