Ajira za medical

Nikhil

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2013
Posts
361
Reaction score
120
wakuu habari zenu

Ni ivii waliomaliza vyuo vya afya private na kufaulu vizuri kama certificate ya pharmacy.
wakuu hawa wafamasia ajira zao wanapangiwa direct hospitali za kiserikali kama walimu! wakuu naombeni mnifafanulie juu ya hili
 
Huwa wanapangiwa direct kwenye hospital za serikal ba baadh yao hupelekwa TFDA na wanaoona kama nshahara kuwa ni tatizo kidogo huwa wanaenda kuomba kwnye hospitali binafsi na community pharmacy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…