Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 5,715
- 13,739
....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana Kijana, there's always tomorrow. Ukiona mlango mmoja umefungwa ujue kuna Tisa iko wazi, hivyo ndio mwenyezi MUNGU anavyofanya Mambo yakeUkiona Giza limezidi Basi tambua kumekaribia kukucha😎😎
Msanii Mr blue ( bayser) kuna nyimbo yake moja anachana " wanabana huku kumbe kule waazi"Pole sana Kijana, there's always tomorrow. Ukiona mlango mmoja umefungwa ujue kuna Tisa iko wazi, hivyo ndio mwenyezi MUNGU anavyofanya Mambo yake
Hasira kivipi mkuu?Kumbe yote hii ni hasira ya kukosa kazi!?
Mkuu punguza wivu wa kimaendeleo na kubali kushukuru kwa jambo lolote lile... kama riziki ni yako ni yako tu mkuu.Wakuu kwanza niwape Pole ma jobless wote mliopo kila kona ya nchi hii mnaoendelea na msoto wa ukosefu wa ajira japo sifa za kuajirika mnazo na hata hizo ajira zenyewe zipo.
Kwa hili la Ajira za TAMISEMI kupelekwa kule utumishi tumshukuru sana Naibu Waziri utumishi Mhe. Ridhwani Kikwete na Waziri wa TAMISEMI Mohammed Mchengerwa.
Ajira za TAMISEMI zilikuwa zimejaa uozo sana tulipokuwa tumefikia kuna watu walifikia kuzifanya kama fimbo ya kuwachapia maadui zao na watu wasiokuwa na connection. Na kama itapendeza ajira hizi zipatikane kwa watu kufanya interviewc(usaili).
Nina imani hili litapunguza malalamiko. Mimi nakumbuka miaka ya nyuma zilitangazwa ajira kutoka TAMISEMI na mimi ni miongoni mwa waliofanya maombi, nikawa nimekosa ajira zile. Wakati nalalamika akatokea mtumishi mmoja kutoka TAMISEMI Dodoma akaniambia hivi "walaumu wazazi wako walioshindwa kukutengenezea connection sio sisi'.
Vijana jobless kwa hili tushukuru japo safari bado ni ndefu. Ukiona giza limezidi basi tambua kumekaribia kukucha
Wapi nimeonyesha kuwa Mimi Nina wivu?Mkuu punguza wivu wa kimaendeleo na kubali kushukuru kwa jambo lolote lile... kama riziki ni yako ni yako tu mkuu.
Haiwezekani hata siku moja kwamba watu wote wasio na kazi wakapata kazi kwa siku moja woote. Hao waliopata na ww ukakosa, hata wao pia walikua na shida na uhitaji kama wewe.
Pamoja na hayo yote kufanyika bado tu kuna ambao watakosa ajira kwa wakati huo ambao wanaona ndio wakati wao pekee wanastahili kupata ajira.
Wapi nimeonyesha kuwa Mimi Nina wivuMkuu punguza wivu wa kimaendeleo na kubali kushukuru kwa jambo lolote lile... kama riziki ni yako ni yako tu mkuu.
Haiwezekani hata siku moja kwamba watu wote wasio na kazi wakapata kazi kwa siku moja woote. Hao waliopata na ww ukakosa, hata wao pia walikua na shida na uhitaji kama wewe.
Pamoja na hayo yote kufanyika bado tu kuna ambao watakosa ajira kwa wakati huo ambao wanaona ndio wakati wao pekee wanastahili kupata ajira.
Hii ni shukurani Na sio malalamikoUsiwe MTU wa kulalamika Sana, mkuu.
Hii ni shukurani Na sio malalamiko
Liwalo Na liwe mkuuKuna kitu hakipo sawa
Jaribu kuachilia mambo
Ni aina zipi za ajira mkuu au kada zipi maana naona hakuna tangazo wala habari rasmiLiwalo Na liwe mkuu
Usijidanganye ndugu labda kama hukuwa na connection TAMISEMI na sasa una connection na Utumishi.Wakuu kwanza niwape Pole ma jobless wote mliopo kila kona ya nchi hii mnaoendelea na msoto wa ukosefu wa ajira japo sifa za kuajirika mnazo na hata hizo ajira zenyewe zipo.
Kwa hili la Ajira za TAMISEMI kupelekwa kule utumishi tumshukuru sana Naibu Waziri utumishi Mhe. Ridhwani Kikwete na Waziri wa TAMISEMI Mohammed Mchengerwa.
Ajira za TAMISEMI zilikuwa zimejaa uozo sana tulipokuwa tumefikia kuna watu walifikia kuzifanya kama fimbo ya kuwachapia maadui zao na watu wasiokuwa na connection. Na kama itapendeza ajira hizi zipatikane kwa watu kufanya interview (usaili).
Nina imani hili litapunguza malalamiko. Mimi nakumbuka miaka ya nyuma zilitangazwa ajira kutoka TAMISEMI na mimi ni miongoni mwa waliofanya maombi, nikawa nimekosa ajira zile. Wakati nalalamika akatokea mtumishi mmoja kutoka TAMISEMI Dodoma akaniambia hivi "walaumu wazazi wako walioshindwa kukutengenezea connection sio sisi'.
Vijana jobless kwa hili tushukuru japo safari bado ni ndefu. Ukiona giza limezidi basi tambua kumekaribia kukucha[emoji41]