moyafricatz
JF-Expert Member
- Nov 27, 2015
- 2,904
- 4,902
Mbona kama hujui kuandika vizuri .,?Jmn ajira za tanesco cna mshiko mzuri jamn nilifanya hili shirika Kam STE na baadae tempo kabal maguful ajafuruga utaratibu wakt nasubiria namba kutk a makao makuuu duh
Ila umeelewaMbona kama hujui kuandika vizuri .,?
zile 96 na 110 inaonekana ulikua unazipiga sana.Jmn ajira za tanesco cna mshiko mzuri jamn nilifanya hili shirika Kam STE na baadae tempo kabal maguful ajafuruga utaratibu wakt nasubiria namba kutk a makao makuuu duh
Ahaha TRA umekata mwez wa pili sasa toka tangazo lao la mwisho la November 4Asante kwa Kuelewa. Mimi ni mbobezi wa Ajira za Serikalini. Najua michezo yote inayochezwa.
NB. Tuko kwenye awamu ambayo ajira zitatoka nyingi Sana both Government and Private lakini kupata nafasi utasota mpaka basi.
Tusubiri TRA Lakin................
Shida sijui ipo wapiAhaha TRA umekata mwez wa pili sasa toka tangazo lao la mwisho la November 4
Sent from my SM-J510L using JamiiForums mobile app
Ipo dalili ya kusitishwa na huu pia inaonekana.Shida sijui ipo wapi