Ajira za ualimu miaka 3 ijayo.

Ajira za ualimu miaka 3 ijayo.

slmmfm

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2014
Posts
304
Reaction score
65
Habari wana jamvi, kwa mawazo yangu ajira za ualimu baada ya miaka3 itakua shida kupatikana,
Nazungumza haya kwakua mpaka sasa vyuo vinavyotoa bachelor za education ni vingi xana ukiacha public hivyo vya private ndo balaa yan kila kona ad st joseph wanatoa education.

Wasiwas wang upo kwenye kupata ajira, Je itakua simple kam ilivyo sasa?

Kalibuni wadau wote wa elimu, angalizo nikwamba tunazungumzia kwa leval ya bachelor (education)
 
miaka mitatu michache sana mkuu ukilinganisha na uhaba wa walim uliopo hasa wa sayansi, sasa hv unakuta mwalim mmoja wa sayansi anafundisha masomo yote ya sayansi 4m 1-4 hasa shule za kata, bado tunauhitaji sn wa walim ungesema labda baada ya miaka ata 7 .
 
angalieni mfumuko wa vyuo uliopo sasaiv jamani
 
Uhaba hautaisha hata siku moja labda wasitishe ajira,vyuo n vingi lakn population nayo inakua watu wanarusha mbegu kujaza dunia mkuu watoto ambao ni under 12 ni wengi sanaaa.
 
umetisha mkuu, kwahyo unataka kuniambia niondoe shaka kuhusu ajira
 
Kwa upand wa walimu wa arts kwa masomo ya history,kiswhil,geography etc wapo wa kutosha kwnye kila shule mpaka za kata coz mpaka mikoa ilykuwa inadharaulwa kwa mazingra ya kufanya kaz walimu wanaenda kuripot na kuanza kazi

kimbembe sasa kwenye walimu wa sayansi kama hapa nlpoajiriwa mim kuna mwl.1 tu wa sayansi anaefundsha somo la chemistry 4m 1-4 na hao wa physics,maths&biology ni watoto waliomalza kidato cha6

so that walimu wa sayans bado wanahtajka sana tena kwa kiasi kikubwa kuliko unavyodhan wew ambye uliopo uraiani

mfano.hapa kigoma intake ya2014 ajira za walimu wilaya ya buhigwe walipangwa walimu wa :
walimu wa sayansi 24 walioripoti kazin 10

walimu wa arts.91 walioripot kazin 82

Nb.hiyo ni kwa idad ya ya walimu wa secondary.

kwenye idara ya msing nafasi zipo za kutosha sana hasa vijijn walimu wanapakmbia na idad ya wanafunzi ni weng ukilingansha na idad ya wanafunzi.
walimu weng wa shule ya msing wamestaf kwa kiasi kikubwa sana kuliko wanaoajiriwa sasa

KAZI NI KWENU VIJANA KUCHANGAMKIA FURSA ZA KAZI KATIKA SECTA YA ELIMU
 
umetisha mkuu, kwahyo unataka kuniambia niondoe shaka kuhusu ajira

Naibu waziri TAMISEMI Mh. Majaliwa aliliambia bunge kuwa kuna baadhi ya halmashauri zimeshatoa taarifa ya kutohitaji walimu wa sanaa. Pia, amesema hata wale waliosomea fani nyingine na kisha kusoma Postgraduate Diploma in Ed hawataajiriwa kwakuwa wao wanahitaji mwl mwenye somo la kufundishia. Pia, kwa wale waliosoma ualimu wa saikoloji (BED. Psy) na ualimu na uongozi wa Elimu bila somo la kufundishia nao ajira yao ni Wizara Elimu na sio TAMISEMI. Pia, amesema karibu walimu elfu hawajaripoti katika halmashauri hivyo serikali inakamilisha uchambuzi na itapeleka walimu ambao bado hawakupangwa ila wasayansi watafikiriwa kwa haraka kwakuwa uhitaji wao ni mkubwa.
 
Habari wana jamvi, kwa mawazo yangu ajira za ualimu baada ya miaka3 itakua shida kupatikana,
Nazungumza haya kwakua mpaka sasa vyuo vinavyotoa bachelor za education ni vingi xana ukiacha public hivyo vya private ndo balaa yan kila kona ad st joseph wanatoa education.

Wasiwas wang upo kwenye kupata ajira, Je itakua simple kam ilivyo sasa?

Kalibuni wadau wote wa elimu, angalizo nikwamba tunazungumzia kwa leval ya bachelor (education)


Kuanzia 2015 serikali haitaajiri tena walimu Wa Arts.
 
Mbona hata postgraduate wana masomo ya kfundshia coz wanasoma masomo mawli ya kfundshia usiwakatishe tamaa vjana ajira sio mpaka uajiliwe serikaln kuna shule nying za binafs kila kukicha znatafuta walim
 
Back
Top Bottom