Masculinity
Member
- May 6, 2024
- 16
- 15
Kiukweli nashangaa sana viongozi na roho zetu binadamu hivi kwann mtu akifanikifanikiwa anasahau maisha ya wenzake hata kama amesota nae au nao?
Ndg zangu hivi serikali inafikiliaaje walimu walioko mtaani waliomaliza vyuo naona kama wanaona ni watu ambao hawatambuliki na serikali kabisa. Just imagine mwaka unaenda kuisha na hakuna chochote wanachojua juu ya hatima yao kuwa mwaka huu hakuna ajira au hakuna?
Hii inamaanisha taifa kwa upande wa walimu either hakuna msemaji wao au mtetezi wao sababu ajira za ualimu tumezoea mwezi wa saba watu wana-report kazini lkn mwaka huu sijui ndo hakuna ajira za walimu.
Ni bora kila mwaka muajiri hao wachache watazid kufariji wenzao kuwa ajira zipo lakini mkianza kuwaona kama wao mazoba mnakuwa mnakosea sana wakati nikifatilia sana taifa ili wasomi wengi ni walimu.
Naone kizazi cha uongozi kijacho sababu kisipoangalia kitakuta taifa ili liko kama Kenya au Congo
Ndg zangu hivi serikali inafikiliaaje walimu walioko mtaani waliomaliza vyuo naona kama wanaona ni watu ambao hawatambuliki na serikali kabisa. Just imagine mwaka unaenda kuisha na hakuna chochote wanachojua juu ya hatima yao kuwa mwaka huu hakuna ajira au hakuna?
Hii inamaanisha taifa kwa upande wa walimu either hakuna msemaji wao au mtetezi wao sababu ajira za ualimu tumezoea mwezi wa saba watu wana-report kazini lkn mwaka huu sijui ndo hakuna ajira za walimu.
Ni bora kila mwaka muajiri hao wachache watazid kufariji wenzao kuwa ajira zipo lakini mkianza kuwaona kama wao mazoba mnakuwa mnakosea sana wakati nikifatilia sana taifa ili wasomi wengi ni walimu.
Naone kizazi cha uongozi kijacho sababu kisipoangalia kitakuta taifa ili liko kama Kenya au Congo